5 Star Hotel Amenities
Elegant rooms with living rooms, kitchens, and patios
In-room jacuzzi tub
Designer linens and bathrobes
Golf courses
Spas with nail and hair salons, massage options, and facials
Pools, hot tubs, steam rooms, and saunas
Top-of-the-line fitness center and coaches
Premium...
Pale mimi nilipita hapo miaka 1990(PCM) ,ilikuwa safi sana.Kulikuwa na commbination moja tu,ila nasikia sasa hivi zipo kibao.Nakuomba usome dogo maana hapo umezungukwa na Jangwani girls na ndani ya fenci ya Azania kuna hostel za Zanaki..Nafikiri umeeelewa
Kwangu mimi ni maoni yangu naona Prof Makubi kahushwa choe maana alianza kuwa CMO(MGANGA MKUU WA SERIKALI) baadae akapandishwa kuwa Katibu Mkuu wizara ya Afya.Sasa kuridi kuwa mkurugenzi wa MOI ni demotion ya hatari ila mshahara wake wa mwisho akiwa katibu mkuu unaweza kubaki kama ilvyo
Nenda ofisi za ustawi wa jamii,hizo ndo kazi zao .Kwanza lazima awe na kibali cha kufanya kazi ya uganga,pili lazima apitie serikali ya mtaa husika.Je yote yamegfanyika?Kama hayajafanyika karipoti ustawi wa jamii watakaupa msaada.
Mwisho jipange kuhama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.