mkuu chukua tu, hakuna uchoyo katika elimu. Mimi nina darasa langu, kupata walimu imekuwa tabu sana ndo nikapata wazo hili, nimetafuta cd za hivi napata za kizungu tu na wabongo tushazoea wabongo wenzetu.
Asalaaaam wanaJF, ninafanya project yangu ya kurekodi vipindi vya masomo kwa ajili ya kufundishia kwa njia ya mtandao, hivyo basi nahitaji watu wenye uwezo mzuri wa kufundisha, wenye uelewa mpana wa kufundisha na wenye uwezo mzuri wa kujieleza kwa ufasaha. Masomo yote ya sekondari na shule ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.