Batilli bado unamkumbuka Dr Wilbrod Slaa? Wanachadema walishamfuta akilini mwao yaani ni sawa na marehemu tu. Mtafute akugawie pesa alizochota Lumbumba. Sisi tunasonga mbele pamoja na kutuulia Kamanda Alphonce Mawazo (RIP).
Kidibwe naomba ufahamu kuwa Reginald Mengi hausiki na Muhongo kungoka uwaziri bali ni yule Tumbili mliyemfanyia mizengwe asirudi Bungeni lakini wanufaika wote wa Escrow wamerudi. Tunasubiri kwa hamu mahakama ya majizi ili watuhumiwa wote kuanzia Mohongo; Maswi; Werema; Mbena (Kawa mbunge)...
Supported 100% Minyoo. Hawa Simiyu Yetu na HamyD they don't think beyond their noses. Tunataka washtakiwa wa Escrow kunzia Werema; Muhongo; Maswi na wenzao wote wafikishwe Kisutu kama Mramba na Yona hatuhitaji miujiza wala washauri toka Ulaya. Simple PCCB walishakamilisha upelelezi siku nyingi...
Mudawote; Mawazo na Kishimbe wa Kishimbe. Mkae mkielewa kwamba siku zote aliki ndogo haiwezi kuitawala au kuiongoza akili kubwa. Mawazo ya kibajajibaji au Kilusindelusinde ni ya kiubabaishaji acheni ushabiki usiokuwa na tija kwa Taifa Letu kuelekea 2020. Ule uchaguzi wa mwanzo wa Busanda...
Huyu Mzee wetu alitumia mwavuli wa Ukawa akateuliwa kugombea ubunge Masasi lakini alikuwa hakubaliki na alizomewa mbele ya Duni Haji na Lowassa pia. Wananchi wanamkubali kijana wa CUF na waliapa kumpigia kura mgombea wa CCM pamoja na kwamba hawaipendi. Mojawapo ya sababu za BP ni hizo. Jamani...
CHAMA CHA DEMOKRASI NA MAENDELEO MKOA WA MARA KINAWAFAHAMISHA KUWA WAFUATAO WAMESIMAMISHWA NAFASI ZA UTENDAJI WA CHAMA WILAYA YA BUNDA KUANZIA TAREHE 15/08/2015
1. ALFRED SAMWEL IMANANI - MWENYEKITI WA JIMBO BUNDA
2. RITHA SALVATORY IKANDILO - KATIBU WA WILAYA
3. EMMANUEL MACHUMU MARIBWA -...
CHAMA CHA DEMOKRASI NA MAENDELEO MKOA WA MARA KINAWAFAHAMISHA KUWA WAFUATAO WAMESIMAMISHWA NAFASI ZA UTENDAJI WA CHAMA WILAYA YA BUNDA KUANZIA TAREHE 15/08/2015
1. ALFRED SAMWEL IMANANI - MWENYEKITI WA JIMBO BUNDA
2. RITHA SALVATORY IKANDILO - KATIBU WA WILAYA
3. EMMANUEL MACHUMU MARIBWA -...
Mtimbo fahamu Richmond na Escrow za mtu mmoja. Alitoa amri kwa Lowassa kusaini Richmond ndiye huyo huyo anatuaminisha eti pesa zan Escrow siyo zetu ni za mungu. Wakati Lowassa anajiuluzulu Richmond walikuwa hawajalipwa hata senti moja. Sitta na Mwakyembe waliudanyanga umma eti walikuwa wanalipwa...
2PAD na Incredible nawapa Big Up sana mna akili kama Sokoine (RIP); Che Guavara; Fidel Castro et el. Nyie ni wazalendo wa kweli. Zitto and Lipumba they deserve "FIRE NECKLACE" au shimo lenye simba wakali kama lile alilotupwa Daniel na Mfalme Nekabuneza wa Babiloni ya Kale.
Mbatia ni mtu wa system yaani anatumiwa na CCM inabidi akina Lissu na Mbowe wawe makini naye sana maana siyo mwana mageuzi wa ukweli kama Mvungi (RIP). Sihitaji kuandika mengi ila kwa ufupi hana tofauti na ZZK. Both are double agents. Full Stop!
Kigogo hebu tujuze, alifaniwa kitu gani gerezani? Alitoa "ndogo"? Maana mwosha huoshwa, Rage aliharibu mtoto mdogo wa Mheshimiwa mmoja mpaka kijana alikuwa mtu mzima akaendeleza huo mchezo hadi umauti ulipomfika. Rage kama ni mbao za milango basi ni sawa na za mti wa Mpapai. Yaani ni kauzu sana tu.
Ritz pamoja na Mag3 kukuelewesha bado hautaki kuelewa? Nape amethibitisha kuwa ushindi kwenu ni lazima hata kwa kuiba kura na mapingamizi feki. Busanda na Igunga hamkushinda ila mliiba kura halali za Chadema na kuweka ready made zenu dereva taxi aliyebeba kura toka Mwanza kwenda Busanda...
Ritz na shoga yako Kinjekitile Junior mna lenu jambo. Nyie ni magamba ukawa inawahusu nini? Wabunge wenu ni wa CCM tena wako wengi sana. Mbona hamuwasemi? Naombeni mfanye mkakati namna ya kupata majina 5 ya kupeleka kwenye NEC ili mpate mtu wa kupambana na Ukawa 25 Octoba 2015. Achaneni na Ukawa...
Mleta mada na Kinjekitile Junior ukawa inakujaje wakati wabunge wote wanalipwa sawa? Nyiye wote wawili ni CCM nawashauri mkae mjipange namna ya kupata majina 5 kupeleka NEC. Achaneni na ukawa fuatilieni mambo yenu. Ishu siyo Ukawa ila Chadema inawaumiza vichwa sana hamlali. Achaneni nayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.