KAMA HUJUI ULIZA WENZAKO UFAHAMISHWE, MCHANGO MKUBA WA KUENESHA AU ALIKUA ANATOA GADDAF ANA LIFIKIA KUTOA WAZO LA KUANZISHA "IMF" YAFRICA NA 3/4 YA CAPIAL ATOE YEYE. but his dream never materialized.
Jaji Waroba alisema na amekuwa akirudia kila mara kuwa walipokaa kama Tume kila mjumbe alitakiwa kuacha itikadi yake ya chama au msimamo binafsi hivyo makubaliano ya wote ndani ya Tume ndio yaliyofuatwa, zinduka.
Mtu anaweza kujipiga risasi zaidi ya moja ikiwa kwenye kiwambo aliweka sehemu ya "burst" yaani risasi zitoke mfululizo. Hata hivyo majeraha yake yatakuwa karibukaribu, si sehemu tofauti mbali.
Moja ya sababu ya bei ya bidhaa kuwa kubwa ni kodi zinazotozwa katika malighafi zake na bidhaa yenyewe,mafuta, umeme na maji ingawa yapo mengine mengi. Ukiweza kucontrol hayo bei za bidhaa haziwezi kupanda sana demand itabaki constant. Mathalani iweje bei ya mafuta ya mitambo iwe ghali Tz lakini...
While strong economy countries like EEC embarked on single visa what is so special to Tz? Let us make use of the resources not keep them for nothing. The wazungus in mining are already in the country owning land on long terms leases but shying to brothers and sisters of EAC!
Tanzania wants to maintain 'individual country visa' approach while others want joint program - Tanzanian has to think twice on visa issue otherwise she gonna remain alone. Having much resources in the country does not warrant............
Unapompeleka mtoto wako madrasa na mwenzio anampleka kindergaten wakianza
darasa la kwanza unategemea nperformance iwe sawasawa! mwingine akichaguliwa sekondari
utapiga kelele kuwa kuna upendeleo?
Kuna tofauti kubwa kati ya benki na Mfuko wa Hifadhi.Wakati ambapo benki ni sehemu ambapo watu binafsi au taasisi/kampuni wanatunza fedha au kwa maneno rahisi wanafanya baishara ya fedha, Mifuko ni bima ambapo mwanachama wake akipata janga (contingency) anapata mafao kulingana na janga alilopata...
Je tukiamua iwe jumba la makumbusho itakaa majini au nchi kavu? "all the same". uzembe wa kupakia abiria zaidi ya uwezo ndio sababu kubwa kwani hata ikiwa mpya haiwezi kuhimili. Angalia walivyokuwa wakishindwa kutaja idadi ya abiria waliopanda boti.
Suala hapa ni sahihi au busara USD 49,000/= itumike kununulia nguo hata kama ikijumuishwa na nauli na masurufu ya watumishi waliozifuata wakati ATCL in hali mbaya ya fedha wanashindwa hata kulipa mishahara?
Serikali ilikuwa rahimu sana hivo watu wakaendesha mihadhara ambayo ilikuwa ni ya kichochezi ndio maana watu wakasahau kuwa uamusho unahusu dini lakini suala la Muungano ni la kisiasa halikupaswa kujadiliwa kwenye mhadhara wa dini. Sasa hasara ndio hiyo.
Nilidhani kilichotokea Libya mlipata fundisho nyie miliokuwa mkiunga mkono nchi za magharibi dhidi ya taifa hilo laini yanayotokea sasa walibya wanajuta (taarifa tunazopata kupitia Tv mbalimbali).
Syria makundi yanayoandamana yanachochewa na nchi za magharibi na kupeleka silaha kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.