Nakubaliana na wewe kabisa. Mimi nina ndugu yangu yaani yeye muda wote analalamikia maisha awe na familia au mtu baki. Mfano ukimpigia simu ukamuuliza tu umeamkaje leo, weee ataanzia hapo, unadhani kuna kulala basi, yaani maskini anatoa wapi usingizi, ohh ukiwa maskini unajikuta tu ni asubuhi...
Mkuu sidhani, labda ndio hiyo kuombwa kutumia ama ujikute tu ushawekwa😃
Kuna harusi moja nilisimamia bana, wee yaani kesho yake picha zimejaa kwenye page ya Mc, nikawauliza maharusi wala halikuwa tatizo kwao kabisaaa na wamelipia huduma vizuri tu. Nilikoma🥲🥲
Nashukuru sana. Kama kuna makubaliano ni sawa mkuu. Au kama mteja kataka mwenyewe pia sio tatizo.
Vipi wale wanaopiga picha kwenye sherehe za watu na wanaziuza kwa nje hivi, kama huna hela picha hupati kabisa. Huwa sielewi kabisa yaani
Kuwarusha😂😂😂😂 na siku hizi watu wa makeup wengi wanafanya kazi na wapiga picha. Tena kuna ile Before n after😂😂😂 mara paaaa watu mtandaoni wanakujadili ulivyovadilika ehh🙌🏿🙌🏿
Shukrani sana. Makubaliano ni muhimu. Pia kutokana hiyo watu kutokujua ama wengine wanapenda hivyo. Ni hakika kuna ambao wanajikuta tu wameshapostiwa na hata kama hataki anakaa tu kimya sababu hajui haki yake ni ipi.
Wakuu, Habari za muda huu?
Leo nakuja kwenu na hii mada ama sijui niite tabia ama vipi. Yaani kumekuwa ni kawaida sasa ya makundi haya: Wapiga picha, watu wa make up, ma-MC, mafundi nguo etc. Yaani wao wanakupa huduma na unalipia na bado wataku-post kwenye Mitandao ya Kijamii (Social Media)...
Ndugu yangu Azimio Jipya
Kwa jinsi ninavyojua mimi, yanapotokea malalamiko kama hayo na kupelekea kupima DNA ya mtoto, wanatakiwa kupimwa wazazi wote wawili pamoja na mtoto.
Kuna wakati kaka yangu alikuwa na kesi kama hii hivyo tukaenda kwenye ofisi ya mkemia mkuu wa serikal ili tuweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.