Hii kweli kiboko, watu wanapoteza masaa mawili hadi sita pamoja na energy kweye mabasi na magari yao kila siku wao wanasema maendeleo. Tumeisha tusipoiondoa CCM
Naona kadiri siku zinavyoenda CCM wanahangaika kujiwekea kanuni na mazingira ya wao kula hii nchi mfano mzuri ni kuanza kujipenyeza kwenye mazingira ya ulaji na si mazingira ya kumtengenezea mtanzania kujikwamua na umasikini.
2005 walihubiri sana maisha bora kwa kila mtanzania lakini kumbe...
Nimeshuhudia vitabu vya shule za msingi za somo la Tehama, hivi waalimu wanafundishaje? maana vina mambo ya computer parts na kazi zake, computer peripherals na kazi zake, Internet/mtandao wa simu na computer, technologia ya habari.
Nawahurumia sana waalimu kwani ni kazi ngumu mno kufundisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.