kwanini wanamlazimisha Lwaitama kuwa yeye ni ccm kweli wameishiwa hoja cz kila cku lwaitama anasema kwa hana kadi ya chama chochote kile...............
mpaka cdm itakapo chukua nchi yatakuwa yamesemwa mengi sana......... mlisema chma cha mcmu.......mkaona bado kipo........ mkasema chama cha kikristo mkaona waislam wakikamata madaraka......... mkasema chama cha wachaga....mkaona wasio wachaga wakikamata nyazifa............sasa mnasema ni cha...
mwenye kiti wa tbc political party anaitwa nani????????????? cz wanapoanza kuzozana na cdm wana wapatia cdm umaarufu wa bure....... tbc wasome nyakati as hizi sio nyakati za zidumu fikra za mwenye kiti............
kweli tbc imekuwa ikiegemea upande mmoja......... so kuisusia ni jambo la busara......... inabidi nawao tbc wasusie mikutano ya cdm...... ili wawe ndroo bt wataweza.......... ushauri.......ikiwezekana tuwahamishie ze comedy kwenye kituo kingione cha tv ili nivunje uhusiano na tbc...
huyu ni msomaji na sio msomi kabisa....... mbona picha zinaonyesha polisi wakiwa wamemshikilia na mmoja akiwa ameelekezea mtutu tumboni mwa mwandishi......... kwanini asiwe huyu polisi ndie alie mlipua....ontop of that hutakiwi kumueekezea bunduki mtu unless umedhamiria kumshuti
tz kwa movie ni noma sijui steling atakuwa nani wakati huu na production itakuwa ya nani cz iliyopita producer alijitahidi hadi akaleta washiriki kutoka kenya si juii hii na ni atakuwa guest steling
kweli hizi ni chenga tu na movie mpya ina anza kama ile ya ulimboka........inamaana hao jamaa walikuwa na mabomu ya machozi....... au........na zile picha zinazo onyesha polic wakiwa wamemshilikilia mwandishi je hazionyeshi watuhumiwa ni nani............toka lini mtuhumiwa akajichunguza.........
ninacho ikubali CDM is that chama hichi kina watu wakila aina, watu wana diplomasia, kama Mnyika, wanaharakati na wenye misimamo mikali kama Lema, washauri kama Dr Silaa, wachumi kama Zito, list ni ndefu...................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.