Alidhani anatangaza mpira kwa kuleta mambo ya "Goooooooo a laaaa ni mpira wa kurushwaaaaa" huku sisi tunapata pressure kwa kusikia redioni bila kuona LIVE
Hawa TBC1 siwaamini kwani wamekuwa wanachakachua habari kwa kuondoa vipande wanavyoona vinaleta sura tofauti na matakwa ya serikali.Mfanno jana wameonyesha Dr.Mwakyembe na Sita wakitoa hotuba kanisani lakini wakakata sehemu ambazo wanaeleza juu ya yeye kunyweshwa sumu,leo wanasema madaktari...
Mchuzi wa bata sijalaumu kwa NCCR pwke yake ndo maana nimesema "Hawajaona matokeo ya kwenda Ikulu kwa waliowahi kwenda?"Hapo nilimaanisha CHADEMA na CUF kwani nao kama walienda kutalii tu na kunywa kahawa kwa kashata
Kwa habari ya faster niliyosikia jana kwenye vyombo vya habari mgodi wa kiwira umeuzwa kwa wawekezaji,wana JF hii ina maanisha nini wakati serikali ndo iko kwenye mchakato wa kutumia makaa ya mawe kupata umemem endelevu?
Duh!! kweli kashata za Ikulu tamu maana NCCR walipanga kuandamana kupinga kupanda kwa bei ya umeme, Baba Riz akaona isiwe inshu hawa wana hamu na kashata akawaambia wakamuone Ikulu wakaahirisha maandamano
Hivi hawajaona matokeo ya kwenda ikulu kwa waliowahi kwenda?Na kama walikuwa na hamu ya...
Mi nadhani mwisho wa siku tuangalie perfomance yake kikazi si suala la elimu kwani tuna viongozi wangapi waliosoma sana na wanaishia kuharibu tu?Mi naona kama jamaa anajitahidi kupambana japo sina uhakika na style yake
Nakushukuru kwa kuliona hili hata mi nadhani MTATIRO bado ni mgeni wa siasa na wasipomweka sawa ataua chama kwani mara nyingi anakuwa hana hata Point ila analazimisha tu kupata umaarufu.
Halafu hiyo bendera hata mimi nashangaa zaidi nawashangaa hao wanachi wanachama wa CUF bara wamekodoa...
Kero yangu na UGAWAJI WA OPEN SPACE tukianza na SINZA amabako waziri amepiga mikwara mbuzi na watu wanaendelea kuvamia mitaro ya maji taka na kujenga kuta za nyumba zao
Hivi Haya mamilioni wanayochangia kila mwezi wanayatoa wapi?Tofauti yao na sisi ni ipi?Mbona sisi hatuna haya ampesa?Aaaaaahaaaaa kumbee ndo wale wanaoitwa mafisadi?nishasahauuuuuuuuuuuuuu
Jiko tumewakabidhi wao wenyewe so tusitegemee kupata msosi zaidi ya watakaopika wao wenyewe labada katiba mpya tuweke jiko tegemezi au linalohusisha wapishi wa vyama tofauti
Mbona kila kitu kimeonekana kwani maisha tunayoishi ndo maisha bora aliyokuwa ameahidi na Kasi waliyo nayo ndo waliyomaanisha sema waliompigia kura ndo wakulaumiwa kwa kushindwa kujua uwezo wake na serikali yake kabla ya kumpa nafasi
Kwa aina hii ya maamuzi yasiyoangalia mbele tutaishia kuwa na wasomi waoga wasiojua hata haki zao na namna ya kuzipata.Kama chuo kimewashinda wawaachie wenye busara zaidi wakiongoze
Huyu jamaa kingereza tu kinamsumbua sasa ana ubavu gani wa kufanya analysis ya muswaada?yeye aendelee na uchambuzi wa mambo ya kiroho na siasa awaachie wenyewe
Naunga mkono hoja maana wengine hatukuusoma hivyo hatuwezi kusema wanakandamizwa au wamevuka mipaka na wakiogopa kuuchapisha basi wasitusumbue maana hata wao wanatuzingua sometimes
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.