Naomba nieleweke kwamba mimi siko biased kama wan JF wengine. I'm neutral and very obejctive to each every person.
Kama members mlivyocahngia kwamba, CCM inayo katiba na kanuni zinazosimamia shughuli za kila siku za chama. Chama kinatoa haki kwa kila mwanachama kujieleza na kusikilizwa...
Hap umesema kweli! Kwanza kabisa napenda kujitambulsha kwamba mimi ni mwancaham hai wa CCM lakini ninayo yaona mimi ni kwamba chama chetu hakiwezi kuendeshwa kama familia ya mtu mmoja.
Eti zidumu fikra za mtu mmoja hata kama hana vision, ila fitina, majungu and lack of confidence to address...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.