wengine wanafanyiwa kila kitu na wake zao,,kama kuheshimiwa,kubembelezwa na vingine vyote ambavyo mke mwema anatakiwa kufanya na bado wanatoka nje ya ndoa...........
umeelezea vizuri sana....tusivunjane moyo jamani,,,haya mambo yalikuwepo tangu enzi za lutu,wanaotaka kuoa waoe,wanaotaka kuolewa waolewe,wanaotaka u single waendelee,kila mtu na maisha yake.Hakuna formula na sio kwamba kwasababu kimemtokea fulani na wewe kitakutokea,,,cha muhimu ni kuomba Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.