Wewe una mtazamo hasi juu ya ndoa, pengine kwa sababu ya mazingira uliyokulia au unayoishi. Sikulaumu. Wakati wewe uko hivyo sisi wengine tumekulia katika famiłia zenye ndoa imara na ndoa zetu ni imara pia. Sikuzuii kuwa na mtazamo huo.
Halafu usidanganye watu kuwa ndoa nyingi zimevunjika. Kwa...
Serikali no chanzo kikuu cha habari. Sheria zilizopitishwa kwa lengo la kudhibiti maudhui yanayoifikia jamii zimeharibu uhuru wa kujieleza, na haki ya kupata habari.
Siku hizi hakuna sababu ya kununua gazeti, au kukaa kuangalia taarifa ya habari. Kwa nini upoteze muda wako kuangalia taarifa za...
Ukifikiria baadhi ya matendo yao,mfano kukimbia na sanduku la kura,kumwagia Watu tindikali,kuamuru afisa anayepokea fomu za mgombea kujificha mpaka muda wa kupokea unapita,kupiga mabomu kwenye mkutano wa siasa nk unaishia kuconclude kuwa hawa wanafanya organized crimes. Wanaweza kutekeleza haya...
Kama kweli yeye ni kiboko,mbona tusikia tu kuwa chattle kunajengwa airport hakuna mahala popote wamekiri na kukagua mradi huo?CCM ni wale wale.CCM ni ile ile.wizi na ufisadi ni agenda kuu inayowaunganisha.
Ni kweli.Mojawapo ya masharti ambayo viongozi wa Africa wanayachukia ji yale yanayosisitiza democracy, uwazi na kuheshimu haki za binadamu.China hawana hayo kwenye mikataba yao.Bila kujali riba na vipengere vingine vigumu kama hivyo vya kukamata mali na mifumo nyeti,viongozi wa Africa huwa...
Anayekubali hayo uliyoandika so mwanaume kamili.Daima mwanaume aliumbwa amtawale mwanamke.Jukumu la mwanaume ni kumsoma mwanamke wake na kutumia udhaifu anaugundua kumtawala.
Vumbi likitulia,most people will come to their senses.By then, watakuwa wamegundua kuwa zile ahadi za kufunga mafisadi,kugawa 50 m kila kijiji, nk zitakuwa hazijatekelezwa.Wataambiwa tena wamchague tena jiwe ili azikamilishe.Watamchagua huku wakiwa na matumaini mapya tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.