Simaanishi vikaragosi, ila ni ule ujumbe wa maandishi ambao umeandikwa na mtu, huwa unakaa pale chini baada ya kumaliza kusoma post, na sio wanajanvi wote huwa wameuweka huo ujumbe bali ni baadhi tu. Pia wengine wameambatanisha na hivyo vikaragosi unavyovisema.
Vipi wakuu! Naombeni msaada wa jinsi ya kuuweka ujumbe wangu ili uweze kusomeka hapa chini kila ninapoandika post au ninapojibu post za wenzangu, ntatoa mfano kama sijaeleweka maana kiswahili kigumu jamani. Utakuta ukisoma baadhi ya posts humu ndani, mwisho wa ile post mlengwa ameambatanisha...
Hakika dunia bila ugaid ni sawa na bunge bila upinzani, hii ni kutokana na sera za wamagaribi wanaojiona wao ndio miungu watu ktk hii dunia, hata kama kauliwa kiongozi wetu Osama bin ladeni naamini huyu ndiye shujaa wa kigaid atakayeweza kukumbukwa kupita hata michael jackson. Ugaid wa osama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.