Utafanya vyote kama wajibu wako na kuna vitu vyadharura vitajitokeza utamfanyia tu ukishakuwa mke nitofauti na mpenz au mchumba hapo ndio uanamke wako unapoonekana.umesahau kumyooshea (kumuandaa) ili aende kazini sasa usiombe awe anakunywa chai kabla ya kwenda kazini ndio utajua kuwa wewe ni...
Kazi kwako kama alikupenda akakuambia hata akimpenda mwingine atamuambia tu ko kuchapiwa kawaida ukichapiwa na wewe chapa[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.