Habari za Asubuhi wakuu! NA MIMI NAPATA HII SHIDA YA GANZI ILIQNZA MAUMIVU KWENYE MFUPA WA HIPS NA BAADAYE MAUMIVU YA MBAVU.
NILIOPOKUNYWA DAWA YA MAUMIVU YA FLAMAR MX NIKAAMKA USIKU NIKAONA HII GANZI AU NUMBNESS IMENIKAMATA SEHEMU SEHEMU ZA MWILI USONI , KTK SIKIO LA KULIA MKONONI NA MGUUNI...
Niliona UKakasi pale nilipoona Dada wa Bilionea pamoja na wazazi wa Bilionea wana tamaa ya mali imewasumbua sana watoto wa marehemu na hapo ndipo walipobugi kijana akili ipo vema.
Wangekuwa wanafiki tu kuwa karibu na watoto wake wangekula kirahisi.
Tunaongozwa na hisia lkn Aliyetenda kitendo...
😄😄😄😄 kweli mwana mtuwache na Mh Rais Samia Nchi imetulia na watu wana amani ... yule mwingine kakaa miaka 6 hakuwapa chochote na mlifyata mkia 🙌🙌🙌 Jiandae Kisaikolojia tutakuwa Naye sana hadi 2030.
Kitimoto safi kama keki ipo kimara temboni oppodite na bar maarufu insitwa Buffalo wanaita kwa Kimario. Ukikosa utanu nitakurudishia hela. Njoo inbobo kwa maelekezo zaidi
Hii sio taarifa nzuri sana kwa Collosium gym itapoteza watu maarufu wateja, pia kwa wawekezaji, huyu MTU amegusa maisha ya watu wengi sio kitu cha kuchekea , Mh Rais hawezi kulifumbia macho hili hatari kubwa.
TEZI DUME NA SINTOFAHAMU ---- soma uelewe na namna ya kuepuka
Kila mwanaume anazaliwa na Tezi dume. Tezi dume siyo ugonjwa bali ni kiungo Kama viungo vingine mwilini. Tezi dume inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume katika shingo ya kibofu cha mkojo. Kazi yake kubwa nikutengeneza maji...
TEZI DUME NA SINTOFAHAMU ---- soma uelewe na namna ya kuepuka
Kila mwanaume anazaliwa na Tezi dume. Tezi dume siyo ugonjwa bali ni kiungo Kama viungo vingine mwilini. Tezi dume inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume katika shingo ya kibofu cha mkojo. Kazi yake kubwa nikutengeneza maji...
Tuache ubinafsi na uroho wa madaraka .... sipendagi aina hii ya watu kabisa .... yeye anatakiwa ajitathmini maana ukiwa tayari kuangamiza watu kwa tamaa zako mwenyewe ni mbaya sana ... Mungu ampe Hekima kama linazo mwenzio maana Kenyetta pamoja kwamba yupo kashikilia madaraka alikubali uchaguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.