Lakini huwa sina imani na hawa wabunge wa CCM,hapa kajifanya haungi mkono hoja lakini baadae utamsikia kalainika anaunga mkono,imetokea mara nyingi sana mfano kwenye budget ya W/ Elimu na nyingine,sijui lakini....LET US SEE!!!
Yaani zaidi ya hiyo hali niliyoisema ya mapigo ya moyo kuongezeka baada ya mlo hakuna hali nyingine yoyote ninayoisikia,na huwa inachukua muda mrefu sana kutulia,kama ni usiku basi labda mpaka ntakapolala nikiamka najikuta nipo normal ile hali inakuwa imetoweka
Asante Fadhili,hili jambo la athma nilishawahi kufanya full body check up lakini sikuonekana kuwa na hilo tatizo,maji nilishawahi pia kushauriwa kunywa maji kwa wingi na najitahidi sana kunywa maji kwa wingi sana lakini bado hii hali inaendelea
Nikweli nilikuwa mtumiaji mzuri sana wa chumvi lakini nna muda sijaitumia,lakini asante sana kwa ushauri wako mkuu ntajitahidi kuacha kabisa matumizi ya chumvi
Habari wana JF wenzangu,naomba msaada kwenye hii hali niliyonayo kwa takribani miezi miwili,kila ninapokula iwe chakula cha mchana au usiku baada ya nusu saa mapigo yangu ya moyo hunienda mbio sana kiasi kwamba nakosa raha,je hii husababishwa na nini au ni tatizo gani?naomba wenye ufahamu juu ya...
Habari wapendwa wana JF,kwa kweli nimekaa nikafikiria na kujiuliza sana juu ya hili swala "kwa wanandoa wengi siku hizi wanasaliti ndoa zao?"....Katika watu nilioongea nao asilimia kubwa wanakwambia "nna dada mmoja natembea nae,ila ni mke wa mtu au nna kijana wangu anaemsaidia mzee shughuli...
Namanyele........huyu jamaa anayeishi na mtoto ambaye si wake hana tatizo na yeye ndio anayelalamika kwamba kwann mkewe amuombe pesa jamaa aliyezaa nae wakati yeye anamuhudumia kwa kila kitu?
Lisa labda nikwambie kidogo background ya huyo mwanamke...jamaa aliyemzalisha mara ya kwanza kabisa aliwahi kumpa ujauzito then akamlazimisha kuitoa mimba,mwanamke akakubali,baada tena akabeba mimba (ambaye mtoto ndo huyo aliyepo mpaka sasa hivi) jamaa akamlazimisha tena aitoe ile mimba bila...
Akenajo...",jamaa aliyemuoa alikubali kumlea mtoto katika hali yoyote ile,ila walikubaliana tu kwamba school fees baba mwenye mtoto ndio litakuwa jukumu lake"........Kama uliisoma hii thread vizuri
Habari wana JF,kuna jambo ambalo kwangu mm linanitatiza kidogo,utakuta kwamba mwanamke ameolewa hali akiwa tayari alishakuwa na mtoto na mwanaume mwingine kabla ya kuolewa,jamaa aliyemuoa alikubali kumlea mtoto katika hali yoyote ile,ila walikubaliana tu kwamba school fees baba mwenye mtoto ndio...
Habari wana JF,Wapendwa naomba msaada wenu kwenye hili tatizo linalonitatiza,imekuwa ni wiki sasa huwa napatwa na usingizi mzito sana ifikapo saa nne asubuhi,yaani iwe nimewahi kulala usiku au nimechelewa lakini ikifika muda huo kwa kweli huwa napata shida sana hata kufanyakazi,na si saa nne tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.