Kama ukipata muda nenda TANESCO waulize gharama walizo tumia wao Hadi kufika umeme kwako ukiachana na kiasi ulicho changia wewe. Jibu utakalo lipata ndio utajua kwanini hawapewi hao private sector kama mitandao yasimu.
Habarini za majukumu ninagari aina ya Toyota Celica ilikua inasumbu kabla tatizo la kuchemsha Nika badili injini.
Ila toka nimefunga mpya maji hayakai kwenye chupa kidogo Cha maji Ila haichemshi.
Na hata nikijaza ukalala asubui sikuti maji naomba msaada.
Naungana na hoja nami naomba nisaidiwe pia , Nina bajet ya m 16 nimevutiwa na Hyundai hii naomba ushauri tafadhari
Tucson
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.