‘Ili mtu aendeshe gari ya shule, sharti awe na umri usiopungua miaka 35 na sharti awe na umri usiozidi mika 60, kinyume na hapo ni kosa na adhabu yake ya awali ni faini ya shilingi laki moja pamoja na kupelekwa mahakamani’
Hii ni kwa mujibu wa mapendekezo ya sheria ya leseni za usafirishaji...
Nawashangaa sana wanaosema eti pole itolewe kwa ile media watu wanayodai imevamiwa.........
HAKUNA CHA KUVAMIWA WALA NINI,mteja ni mfalme, sioni jipya hapo, tena wa kupewa pole ni aliyeenda pale kufanya alichokifanya maana walikuwa na maelewano binafsi sasa hayakutekelezeka (mi nampongeza, au...
Sio shabiki wa siasa mimi,,,,na kwa ufupi hakuna siasa nchi hii,,,,yote yanaelekea kuwa siasa tu bali si siasa.
Hapa nadhani huu mjadala ungeenda kule jukwaa la Dini,,,,,tungejadili kidini zaidi,,,,mi nahisi wewe hukumwelewa,,,yeye aliongea kiimani na imeandikwa................
Alijifananisha na...
Kila kiongozi anakuja na tamko lake,,,hivi mbona siku za nyuma haikuwepo hii?
Mara kazi yenu kuzaa tu, alafu mwingine anakuja anakanusha eti ilikuwa utani
Mara machinga waondolewe , mara warudi,,,
Mara wahitimu wasivae majoho kabla ya degree, mara hiyo haipo watavaa tu,,,
Mara diploma huendi...
Habari ndugu,.
Naomba msaada kwa anayejua shule za serikali ambayo/ ambazo zina walimu wengi yaani walimu wa kutosha.
Hapa nikwamba, shule hizi hazina tatizo la upungufu wa mwalimu wa somo hata moja.
Hii imezoeleka shule za private, lakini kwa bahati nzuri inawezekana ikawa hata ikatokea shule...
Sasa nasikia wa Mwanza wamepelekwa mbali na mji, vipi hawa wa Kariakoo bado wapo au wametupwa mbali?
Au vipi, mbona hujatuletea update kinachoendelea? wengine tuko mbali na Tanzania ya Makonda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.