Sina kumbukumbu yeyote ya KONGAMANO la AMANI wakati wa utawala wa JK NYERERE! Cheyo na Mbatia huenda wana kumbukumbu hiyo. For God sake...amani haijengwi kwa makongamano ya kujitafutia umaarufu kwenye runinga na radio. AMANI inajengwa kwa kutenda haki tu...hata usali vipi...hata uongee ukitoa...
Sure hawa CDM wanaiga tu kila linalofanywa na CCM...nimeipenda hiyo...sasa yule mama afande pale kwenye TV jana alivyokuwa anasema wamejipanga kupambana na helo jeshi la CDM, kwani ameshaliondolea mbali lile la CCM? kabla hujatoa kibanzi kwenye jicho la mwenzio, basi ondoa kwanza boriti jichoni...
mmmh majangaaaaaaa....unataka ukanunue silaha za ku-counter attack au? nadhani ni kama wewe unavyojilinda nyumbani kwako...wengine mapanga, wengine bastola...wengine kwa babu...wengine mikuki....yaani ni MAJANGA!!!
UNAPOTEMBEA UKAONA HAUFIKI UENDAKO, SIMAMA GEUKA URUDI UTOKAKO KWANI UTAFIKA UENDAKO.:crying:
NI NAFASI PEKEE NAYA-UPENDELEO KWA WAISLAM KUSIMAMA NA KUELEZA UISLAM NI NINI, LA SIVYO WAKIACHA HALI HII IENDELEE, BASI TAFSIRI SAHIHI ITAKUWA HII HAPA. UISLAM = UGAIDI!
NI KWELI SOTE NI NDUGU...
Magamba wanatishia biashara zake nini...refer former PM...ukitaka biashara zako zifanikiwe! ... hamia ccm! kaona hilo ndo maana kwa kutopenda magamba kaamua kuwa neutral tu. asihofu CDM ikiingia haya yote yataisha atafanya kazi zake kwa uhuru!
Hakika umenena. ... .dini za wakoloni na wafanya biashara za utumwa ndo zinatuhangaisha. tunatumia resources zetu kutukuza utumwa na ukoloni.
tunalipa posho ya ziada kwa askari, tunalipia mafuta n.k. na mbaya zaidi tunapoteza uhai wa wenzetu kwa kushadadia ukoloni na utumwa. wapo wapi akina...
shairi lako ni zuri...natamani ungeendelea. wakati mmoja anajifunza ALPHABETS ambazo zinatawala soko. ...yaani A B C D E. ...mwingine anajifunza alphabets ambazo for sure huenda hazielewi.
wakati mmoja anajifunza kula kwa style ya hands off. ...mwingine anajifunza kukaa kwenye janvi na kula...
hahaaa unaingia woga eeeh!
si wameamua kufanya vurugu sasa ni muda wa kudisplay dhana za kazi...viva Mwamunyange ni kazi yako na mtu asilete siasa za magamba hapa! ni kazi ya JWTZ kuhakikisha Tanzania ni salama kwa hiyo hakuna mtu wa kukuhoji!!! ndo maana Amiri jeshi mkuu yupo na we kamanda...
it is only honest people and trustworthy who can dare say real issues in real places. kudos Kamanda Mnyika...
tunasonga mbele...kitaeleweka to!
wanatugawa kwa dini zetu...hawatashinda kwani hawana hoja zenye nguvu kuweza kutuchanganya.
UDHAIFU, UZEMBE NA UPUUZI!!! we need now M4C...oops...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.