From "You might be a big fish in a little pond" to "Viva la vida" Coldplay rocks.. One of my 2011 best alternative rock band na album yao ya Myolo Xyloto.. Every teardrop is a waterfall, Paradise siishi kuziskiliza yani.. Usisahau Ghost Stories nina full album - digital download..
I hope I'm not late kwa hii thread, I'm a Rock addict since nipo kid those days za akina Bruce Springsteen, AC/DC, Rollingstone it was awesome.. The biggest chance niliyopata kusikiliza rock to the fullest ni nikiwa advance level thru Xfm ya Kenya.. Nina a lot of digital downloads from Avenged...
kuna yoyote ambaye amesha-upgrade bbOS 5 to 6 kwenywe bold 9700 anisaidie natakiwa kuwa na free space kiasi gani na ni mda gani depends with my internet connection naweza nkaifanya hiyo kitu?
I have BB Bold 9700 nko na shida kama ya kwako ndugu, hawa jamaa ni wavivu sana hata kuweka app ya adobe wameshindwa kabisa japokua ni the 3rd largest OS ila wako poor sana, utaona themes kibao kwenye App world yao ila kwa apps za kama PDF readers hawana, labda kama uki-upgrade kwenda OS 6...
Blackberry 9780/9700 wala hata wasikuangaishe na hizo hapo juu. Battery backup ipo juu (1500mAh) ni ya uhakika sana na wala hautakuwa na haja ya kuzima internet kama wenye iPhone na Android wanavyofanya kuzima internet ili wapate battery ikae kwa muda mrefu.
I`ve experienced nokia n70 na SE P1i yani they are too expensive ila kiukweli hamna hata kitu cha maana zinakuwa nacho zaidi ya ushamba wa kizamani kuona kama vile a mobile phone is working kama a laptop. Sasa naona hata kwa Nokia wenyewe wameamua kuachana na huu ugonjwa unaitwa Symbian wakaenda...
wana different bundles kutegemeana na mahitaji yako ila hauwezi ukasurf kwa sh500 siku nzima.. natumia tigo ya sh450 naunganisha na Huawei Ideos Tithering yani napata internet both kwenye laptop na kwenye Phone kawaida kama unaweza ukafanya hvyo inakua ni XXXtra cheap kuliko wengine wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.