Search results

  1. VeniGan

    Wapenzi wa cold play

    From "You might be a big fish in a little pond" to "Viva la vida" Coldplay rocks.. One of my 2011 best alternative rock band na album yao ya Myolo Xyloto.. Every teardrop is a waterfall, Paradise siishi kuziskiliza yani.. Usisahau Ghost Stories nina full album - digital download..
  2. VeniGan

    Wapenzi wa Rock music!

    I hope I'm not late kwa hii thread, I'm a Rock addict since nipo kid those days za akina Bruce Springsteen, AC/DC, Rollingstone it was awesome.. The biggest chance niliyopata kusikiliza rock to the fullest ni nikiwa advance level thru Xfm ya Kenya.. Nina a lot of digital downloads from Avenged...
  3. VeniGan

    Usafiri enzi zile Mwanza yetu

    Ngollo express bado zipo, route ya Mwaloni - Kishiri/Machinjioni
  4. VeniGan

    Msaada wako una hitajika

    jaribu pia thunderbird iko poa
  5. VeniGan

    Jukwaa la watumiaji wa Blackberry..share tips and tricks

    kuna yoyote ambaye amesha-upgrade bbOS 5 to 6 kwenywe bold 9700 anisaidie natakiwa kuwa na free space kiasi gani na ni mda gani depends with my internet connection naweza nkaifanya hiyo kitu?
  6. VeniGan

    msaada blackberry bold 9700

    I have BB Bold 9700 nko na shida kama ya kwako ndugu, hawa jamaa ni wavivu sana hata kuweka app ya adobe wameshindwa kabisa japokua ni the 3rd largest OS ila wako poor sana, utaona themes kibao kwenye App world yao ila kwa apps za kama PDF readers hawana, labda kama uki-upgrade kwenda OS 6...
  7. VeniGan

    Blackberry original

    Fungua option alafu angalia About itaona wameweka kila kitu hapo
  8. VeniGan

    Ipi inapendeza?

    Ya hapo juu
  9. VeniGan

    Iphone users

    Mmetusahau na sisi wenye Blackberry jamani. Tukumbukane hata kwa maujanja ya aina yoyote na siyo kwa wenye iPhone tu wanajamii
  10. VeniGan

    MSAADA: BLACKBERRY VS.ipHONE VS. HTC

    Blackberry 9780/9700 wala hata wasikuangaishe na hizo hapo juu. Battery backup ipo juu (1500mAh) ni ya uhakika sana na wala hautakuwa na haja ya kuzima internet kama wenye iPhone na Android wanavyofanya kuzima internet ili wapate battery ikae kwa muda mrefu.
  11. VeniGan

    Uliza / sema chochote kuhusu Nokia(symbian s60 v5)

    I`ve experienced nokia n70 na SE P1i yani they are too expensive ila kiukweli hamna hata kitu cha maana zinakuwa nacho zaidi ya ushamba wa kizamani kuona kama vile a mobile phone is working kama a laptop. Sasa naona hata kwa Nokia wenyewe wameamua kuachana na huu ugonjwa unaitwa Symbian wakaenda...
  12. VeniGan

    The Nokia iPhone 5 Killer Phone Has Arrived!

    bei yake inaanzia $600 kwaUS so mpaka ikifika Bongo itakua MILIONI 2.. what the hell is Nokia by now? I love Android and Blackberry OS ni the best
  13. VeniGan

    Nokia WP7 "Leaks"!!!!

    Poor nokia hata hana tena fans.. Android by Google is the killer of Nokia Ovi and Blackberry na sasa anaua iPhone
  14. VeniGan

    Apple iPhone 5 coming in September! Tuone sasa.

    Maker wa camera ya 8MP inawezekana wakawa ni Sony
  15. VeniGan

    Dashboard ya 3broadband connecting"Hakuna haja tena ya kuchakachua modem"

    Well, we call it great development kwa sasa.. Asante sana sasa nifanye mchakato wa kui-download
  16. VeniGan

    Airtel Internet on Android

    APN: Internet, Port: 9201 na kazi inakua imeisha thou hii simu ina poor power backup..
  17. VeniGan

    what is the best mobile phone so far?

    the best kwa mimi ninavyofahamu kwa sasa ni HTC Trophy running with Windows Phone 7
  18. VeniGan

    Airtel Internet

    wana different bundles kutegemeana na mahitaji yako ila hauwezi ukasurf kwa sh500 siku nzima.. natumia tigo ya sh450 naunganisha na Huawei Ideos Tithering yani napata internet both kwenye laptop na kwenye Phone kawaida kama unaweza ukafanya hvyo inakua ni XXXtra cheap kuliko wengine wote
Back
Top Bottom