Habari zenu wanajukwaa ..?? Napenda kuuliza kama kuna Diploma holder yoyote aliyejiunga na Bachelor kwa upande wa afya kapata mkopo mwaka huu maana naona kama tumekosa na kutengwa mwaka huu. Mimi ni muhanga pia. Tusaidiane wadau hata kwa mawazo
Serikali bado haijaweka sawa ishu ya mkopo kuna mapungufu mengi sana unakuta mtu ana vigezo vyote vya kupata mkopo lakini kakosa na mwingine kapata lakini ni kama vile hajapata Mțu anapewa Tuition fee 10% au meals and accommodation amepata lakini tuition fees hajapata .
Aombe Mechanical Engineering pale NIT capacity bado inahitaji watu zaidi ya 150 aweke chaguo la kwanza watamchukua tu .Ni wazo langu hilo unaweza kulitumia .
Hiyo dawa kumbe haifanyi kazi mpaka hapo ishashindwa . Maana kama inafanya kazi na unaikubali usingeitangaza ingejitangaza yenyewe kulingana na uwezo wa kupumbaza watu wengi wangepumbazika na kuinunua na kwenda kupumbaza wengine ambao wangepumbaza wengine na kupumbaza wengine . Inawezekana...
Ahsante mkuu kwa taarifa . Hongereni kwa mliochaguliwa naona kama vile second batch ya Bugando imewahusu Diploma applicants tu ukitumia hesabu ya kujumlisha na kutoa kwenye mgawanyo wa admission capacity za F6 na Diploma holders .Hongereni sana Mnatakiwa kuripoti kabla ya tar 24 October
Cheki pale Kampala Int University kama ni diploma holder uliapply pale maana idadi kwa kila kozi ni sawa na F6 +diploma holders admission capacity. Tembelea website yao majina yako pale .
Ukiangalia idadi ya waliochaguliwa kwa kila kozi unagundua kuwa hata diploma holders .majina yao yapo mfano ,Idadi ya majina ya MBBCh ni 210. Form6 capacity yao ni 180 hivo wanaobaki ni wa indirect au diploma holders , Bachelor of Pharmacy idadi ni 208 , capacity ya F6 ni 180 na 28 bila shaka ni...
Kwa wale Undergraduate applicant mlioomba KIU kupitia diploma chekini majina yenu maana naona jumla ya majina kwa kozi husika ni sawa na jumla ya form 6 na diploma ,mfano MBBCh jumla wapo 210 ukitoa form 6 idadi yao ni 180 kuna majina 30 yanabaki bila shaka ni diploma hao . Pia kwa Pharmacy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.