usiku huu Mwingulu Mchemba amehamishwa HOTELINI na maaskari kwa usalama wake alikuwa hapa Sterio Hotel chumba namba 214 na haijulikani amehamishiwa wapi na walizima taa zote wakampitisha Jikoni na kuelekea kusikojulikana
Mimi nafikiri wametumia neno baya [ kujivua gamba] anaejivua gamba ni nyoka na nyoka ni adui wa Binadamu [Watanzania] kwahiyo hawatufai hawa nyoka tena [Black Mamba] dawa ni kuwakataa kabisa kuepuka kuendelea kuumwa na nyoka hawa.
Is quite right for what while he Bogas like you . How comes you know the people who are stilling our things then you hawachukulii hatua huyu nae ni mpuuzi tu
Kumbuka kuna wakati watu walisema hii Nchi inaendeshwa. kisanii na sasa Nchi imekuwa ya kisanii full .Angalia wamemuua Balali wakati tunajua Balali yu hai na sasa wamemleta mmiliki feki wa Dowans ili Wtz tuone kuwa wako sawasawa hii haikubaliki Serikari ya C C M yote ni ni wezi wakubwa chini ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.