Mwambie mtengane... Naam ni ushauri mbaya sio?? Lakini siku zote hekima ya Mungu juu ya uumbaji haina makosa. Kila binadamu hapa duniani anae ambae uume na uke hushikamana ipasavyo yaani hutoshana. Mwenzi wako amrudie aliyemtanua nawe utapata atakaekupenda ulivyo.
Usiwe mtumwa wa kutumia dawa...
Ni kweli, nyinyi ni muhimu sana, na mazingira yenu ya kutambulika na kuhitajika hayajaandaliwa ipasavyo. Japo wateja wenu wengi wapo hospitalini wakimeza dawa ila wanasaikolojia wakipewa nafasi, taifa na familia, zitatibu wagonjwa wengi.
Msikate tamaa, kadri muda unavyosonga mbele mtafanikiwa.
Hakuna anguko la Taifa linalokuja ghafla bila vitangulizi, ndio maana nchi inahitaji kuwa na kundi la watu wanaoiona jamii miaka 100 ijayo, sio miaka 5 tu ili kuepuka gharama za aina hii. Vijana ndio nguvu ya Taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.