Nimekuuliza bata lipi...?! hujanijibu au la Picnic, The Hub, The Pillars, Mount Point au bata gani...?! Uzuri Arusha naijua Mwanza naijua...
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Hizo hotel ulizotaja ni nyota tano...?! kama ni bora hotel Arusha zipo nyingi...
Hizo kumbi za Mikutano zina lingana na AICC...?!
Apartments na makazi ya Arusha ni bora... upande wa nyumba AICC wanazo nyingi, NHC na wengine kama kule PPF...
Leta chanzo cha taarifa yako ya kwamba, Dodoma...
naomba Five Star hotel za Dodoma... nipatie Ghorofa kama ile ya Ngorongoro tower na PAPU kwa upande wa Dodoma ni zipi...?! ukumbi wa mikutano kama ule wa AICC upande wa Dodoma... makusanyo ya TRA, upande wa GDP, Makazi mazuri ya Arusha...
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mbeya yote siijui, ila CBD naijua... wilaya kama ya Mbarali naijua kidogo maeneo ya Igawa... Chunya nafahamu maeneo ya madini lakini sio maeneo yote... Siwezi kusema nimeenda Kyela basi hadi Nane nane napafahamu... Sawa sawa na wewe ulivyosema umesoma Karatu na kukaa kidogo Elerai basi unayo...
Huwezi kusoma Karatu halafu useme unaijua Arusha vizuri, vinginevyo ungekuwa angalau kule Ilboru Arumeru, au Monduli basi hata Longido maana kufika Arusha Town unaweza unaweza ukawa unafika, halafu sio Ilerai ni Elerai umekaa hapo kwa muda gani...?! yamkini ulipita kwa dada yako/ Shemeji yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.