Mmh! Wewe NE hata hueleweki,kwani ukitongozwa lazima ukubali? Hata hivyo ktk threads zako zote unaongelea mibaba inaonyesha unaipenda iweje tena ujifanye inakuboa? Acha hizo ww...
Hongera na mshukuru mungu kwa hilo..me nakushauri kabla ya kufanya mapenzi hakikisha mpnz wako amekuandaa vya kutosha kiasi ambacho unafeel upo jirani kufika kileleni ndio uendelee,pili ukiwa ktk process hamishia akili yako pale na vuta hisia ya raha unayopata.
Hongera muhosni kwa kulitambua hili..hata me nimejiunga na upande huu siku sio nyingi ila nafarijika sana kwani nimepunguza mawazo na maumivu ya mapenzi..jamani hakuna kitu kinachoumiza kama unampenda na kumheshimu mpnz wako halafu ukaja gundua si mwaminifu.. its pain..
Pole sana thats life..kupenda si rahisi kama watu wengi tunavyofikiri,ipo siku utapenda tena,si ww tu utakae kuwa lonely na unaeumia msimu wa valentine ukifika wapo wengi sana cha msingi siku ya kesho enjoy with ur family and ur friends who are single..dont loose hope kwani there is someone who...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.