Wadau na wataalamu wa Magari naombeni ushauri gari yangu ninapowasha AC inatumia mafuta mengi sana.
Kwa mfano nisipowasha AC ninaweza tembea 12km/L mpaka 13km/l hapa mjini,Lakini nikiwasha AC naishia 8KM/L. Gari ni 1490CC Toyota Premio F.
Nilibadilisha Plug lakini bado.Gari bado ni mpya ndio...
Usiji ukadanganyika hakuna Basi yenye choo ndani kutoka Dar kwenda Mwanza,lakini kwakukusaidia Kama unataka kuwahi panda Ally's Star au Tanzanite/ Dar Lux. Basi lenye full kiyoyozi mwanzo wa safari mpaka mwisho panda Happy Nation.Hayo mengine yote ya kawaida na mwendo wa Kawaida.Tukutakie safari...
Ndugu yangu unamawazo mazuri sana lakini inawezekana wewe sio mfuatiliaji mzuri wa mambo yanavyokwenda. Serikali kupitia Wizara ya Maji imeanzisha Wakala mpya inayoitwa Wakala wa usambazaji maji na usafi wa mazingira Vijijini kwa kifupi RUWASA hii ilienda sanjari na kufuta iliyokuwa wakala wa...
Wataalamu naombeni ushauri,naumwa sana na kiuno yapata wiki ya Tatu Sasa.Nilienda hospital nikaambiwa ni UTI nikapewa dawa Cipro,dozi kuisha tatizo likawa bado nikatumia Doxycycline na yenyewe ikaisha lakini tatizo bado Mara ya Mwisho nikaenda BOCHI hospital nikaambiwa UTI ipo kidogo nikapewa...
Kitu cha muhimu zaidi ni kufuata procedure za hiyo practical,hata kama utashindwa kumaliza lakini kama utakua umefuata procedure vizuri itakusaidia na uwe accurate na unachokifanya hata kama ni kidogo
Nauza laptop yangu anaehitaji ani pm tufanye biashara
Specifications:
Hp probook
Procesor intel core i7
RAM 6GB
Hard drive 1T
Finger print
HD Webcam
4 USB port
1 HDMI port
1 VGA port
DVD ROM
Screen 19" inch
Bei 1.1M.
Mawasiliano 0624069169
Mheshimiwa Rais, Waziri wa Fedha na Gavana wa BOT, wakati Rais anafungua tawi la bank ya CRDB makao makuu ya nchi Dodoma alisema ni marufuku kufanya malipo kwa hela ya Dola hapa nchini, lakini mbona kuna Taasisi za Serikali tena ambazo zipo chini ya Wizara ya fedha mpaka leo kuna malipo...
Mheshimiwa Mbowe maana ameweza kukipeleka chama chake mbele akiwa amezungukwa na Wasiliti na Mamluki wengi sana lakini hakutetereka mpaka wasiliti wameamua kurudi walikotoka mmoja baada ya mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.