Huyu jamaa huwa haeleweki mara kule mwanzo ulisema chadema kuna udini na ukabila. Leo tena unageuka mara akiri kubwa haendani na akiri ndogo. Pasco wewe endelea na karata yako ya udini na ukabila kwa chadema acha porojo zingine.
Wazazi wa mwiguru waishukuru chadema. Maana jamaa kwa jinsi wanavyomfuatiria imebidi awajengee wazazi wake. Mbona hakujenga wakati yuko BOT. Siasa sio mchezo mzuri.
Leo ni uzinduzi wa rasimu ya katiba mpya. Uzinduzi huo unafanyika viwanja vya karimjee. Kuna vituo ya tv kama itv na tbc vinaonyesha live. Mgeni rasmi ni makamu wa rais na makamu wa kwanza wa rais toka znz. Karibuni tufuatirie. Baadhi ya viongoz wa vyama vya siasa wameonekana ila viongozi wa...
Mkuu BEN naona umefanyakaz kwelikweli kuvujisha mawacliano kati ya ASHA kwenda kwa MACCM menzie. Nikupongeze sana kwa kazi iyo. Leo lumumba hakukariki kila m2 anajiuriza mmepataje emails zao.
Maccm yameuguzwa ugonjwa mbaya sana na cdm.. Yamekua na kazi ya kujibu hotuba za cdm badala ya kujielekeza ktk hotuba ya wizara husika.. Now cdm they run bunge...
Hivi wameonyesha nia au tayari wameshaingia mkataba? Isije hii inshu ikapita juu kwa juu. Maana kama tenda ya ukarabati wa locomotive wameshinda wa malysia kuna nin tena FELLA! Ametoka mhindi anakuja asian mwingine na KTM za kichina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.