ha ha ha! kuna watu vitu vinagonga kwenye boksa, walijua nchi hii mali yao wakaanda kuelekea utawala wa kifalme lakini MUNGU ni mwema sana kawahurumia watanzania
Unampangia cha kufanya? bado yupo sahihi kikatiba, kwahiyo ya kutengua wote ni matamanio yako yeye kaamua kufanya marekebisho ya ndani kwa ndani ndio maana unaona wengi wamehamishwa tu toka sehemu moja kwendanyingine hivyo bado anawaamini mkuu
Wanufaika wa mkopo huwa wanarejesha mikopo yao kupitia makato ya kila mwezi kwenye mishahara yao bila kujali kuwa wameajiriwa serikalini au kwenye sekta binafsi.
Figisu kama hizi ndio ziliiua Peace House Secondary 2010 shule ilikuwa inatoa elimu bure kwa watoto wa maskini, saivi ni private ada milioni mbili na ushee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.