Greater Thinkers!
Noamba wahusika Idadi ya wabunge waliochaguliwa katika uchaguzi huu ili tujue sura ya Bunge letu lijalo
1. CCM wamepata wabunge wangapi?
2. CHADEMA wabunge wangapi?
3. CUF wabunge wangapi na
4. ACT wabunge wangapi?
Kwa kuweka vizuri kuhusu uzi uliotelewa wa saidi Nkumba kurudi CCM ni kwamba, UKAWA hawajapoteza kwani baada ya maandamano kumpinga, mshindi wa kwanza wa kura za maoni alirudishwa na ndo anayegombea kwa tiket ya CHADEMA.
Kada wa CCM
Nafikiri CCM inademokrasia ya rushwa kuliko chama chochote Africa. Maana hata ukitoa rushwa hukamatwi ila kwa demokrasia ya kweli hapi unanipaka uji mdomoni. Vipi kuhusu vyama vya siasa nchini Ghana, na penyewe CCM ya kwanza. Acha uongo kada wangu, kuwa mkweli. Mimi ni mbumbu wa...
Wana JF:,
Naomba ushauri wa kitaalam au Kisheria kuhusu Zitto. Kwakuwa leo katika chama cha CDM ndo mwisho wa uongozi wa awamu ya IV, na kuanzakwa awamu ya V ya Uongozi ndani ya chama hiki na zitto alikuwa mahakamanikupinga kuvuliwa uanachama na nafasi alizokuwa nazo Chamani, Jemahakama ikisema...
Ngd: Wana Jamvi,
Mnyonge Mnyongeni haki yake mpeni: KUSEMA KWELI CHADEMAIMEKOMAA, INAKUWA, NA INAPENDWA NA WATANZANIA HATA IKIPEWA NCHI WANAENDESHABILA WASIWASI.
Kwa muda nimekuwa kimya nikifuatilia kwa ukaribu sanaChaguzi mbali mbali ndani ya chama cha Chadema, nimekuja kungudua kwamba...
Nimeupenda sana Uchambuzi huu. Inaonekana Zambia na Malawi ni nchi ndugu sana na huko nyuma yawezekana ilikuwa nchi moja. Hata Mungu wao ni mmoja ndo maana anayoyafanya Zambia ndo anayoyafanya Malawi. Bora wale je sisi Tanzania tunafanana historia na nchi gani?
Wewe ndo umeleta mada. Hebu tukumbushe kesi ambazo Lissu amewahi kupelekewa wakati akiwa katika taaluma ya uwakili na hakushinda, tuanzie hapo halafu nami nitakushushia zangu. Toa ushaidi wako kwanza kwa kutaja kesi yenyewe, ilikuwa kati ya nani na nani na mawakili wake kishi tuone lissu kweli...
Unamatatizo ya akili, nafikiri uko kiushabiki zaidi. Hayo yote yanayoelezwa na tume pamoja na wapinzani wewe huelewi tu au kisa wewe ni mwana CCM? Kama hutaki kuelewa usingepost. Ipo siku mtalia!!!
Serikali kazi yake kusimamia maadili katika nchi kulingana na tamaduni zake. Hili katika nchi yetu wala haina haja ya serikali kuingilia kati kwani ndoa zinavunjika kila kunapokucha. Kama unaona imani hii inakuboa usiende na kataza familia yako kutokwenda wanaotaka kwenda na waende. Naomba...
Hivi ACT nayo ni nini? Hata siku moja ZZk hawezi kuwa kiongozi wa chama, hana nasaba hiyo, kama anafikiri anaweza aanzishe lakini baada ya muda mfupi wanachama wa CDM watakaokuwa wamefuata upepo watarudi. Nakiona CDM kina nguzo imara. Chama ni nguzo sijaona nguzo za ACT hata moja. Hata Zitto...
Hongera CDM kwa hilo. Taasisi yote inayotaka kuwa imara ni lazima iimarishe vyombo vyake vinayohusika na Usalama. Kwa CDM naamini vyombo vyenu vya Usala viko juu hapa Tanzania kuliko chama chochote cha siasa. Hongereeni saana mpaka tunawatamani kwa yale mnayoyafanya.
Mara zote ukitaka kuharibu taasisi yoyote lazima uwe ndani yake ujue kila kitu kinachoendelea. Kwa kuwa sasa Zitto hana cheo chochote ndani ya chama na kwa kuwa hashiriki vikao vyovyote vya chama yapata miezi mitatu sasa. Na kwakuwa naamini washirika wake wote anao wategemea (masalia)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.