Hello my friends!
Would someone kindly assist me with airtel tz headquarters general lines. I need to get in-touch with someone there and the numbers i've got is just the customer care numbers which I cant get through with from here in Nairobi.
The numbers I need ni za land-line etc...
Kwenye masuala ya mortgage, unaweza ukalipa downpayment ya nyumba kubwa ambayo huwezi kuilipia kodi cos it's expensive lakini uipangishe at the prevailing market value yake. Hiyo kodi italipa mortgage na ikubakishie fedha ambazo utalipia kodi nyumba unamoishi and after the period mmekubaliana na...
Hi Members!
I'd be interested to supply schools, especially secondary schools with lab equipments and chemicals that students use in their chemistry lessons. anyone interested especially teachers and headteachers could contact me at tonywamae@gmail.com.
Regards.
Ukiweza kupata uyoga wa hali ya juu unaokubalika, hapa Nairobi soko ni la uhakika kwenye mahoteli makubwa makubwa. Kunao wakulima wakubwa huku wa uyoga but for export purposes only, kwa hivyo local market haijatoshelezwa.
Ni kilimo kizuri sana lakini ni lazima uwe muangalifu sana kwenye...
Ukitaka kuwekeza huko, ni lazima uwe na mwenyeji kama director wa kampuni inayo wekeza na huyo mwenyeji anapata 40% of the profits yet yeye haja ngaramia huo uwekezaji. It's very unfair lakini hamna vinginevyo. Alafu wakati mwingine atataka ku-run hiyo biashara na ukikataa, unanyanganywa...
Wa-Israeli wana hofu kwa sababu wanaelewa Mubarak akiondoka, waislamu wenye itikadi kali kama hao muslim brotherhood wanaweza wakachukua serikali ya Misri na security headache ya Israel itaongezeka sababu Misri ni immediate neighbour wao na sasa hao brotherhood wataungana na hizbollah in Lebanon...
Naamini kati ya haya magari mawili, Nissan X-Trail ndiyo iko mbele. Kwa magari kama haya, kama unao uwezo wa kununua one of them, suala la mafuta haliji sana kwani uwezo unao wa ku-fuel. Suala liko kwa upatikanaji wa spares na durability wa gari lenyewe which I believe X-Trail iko mbele.
Hi guys. It's a pleasure to be a member of this group.
Just wanted to know, is there any member of Jamii forum ama any member wa hii forum anafahamu mtu yeyote anaye fuga rabbits on a commercial scale? Je, nyama ya rabbit inapatikana wapi? Is it available in supermarkets, butcheries etc? Do...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.