Kwa upande wa uwezo Mkandarasi anakidhi vigezo vya kimataifa kwani ni class 1 contractor in Building and civil works and also ana uzoefu wa kazi za ujenzi wa muda mrefu hivyo kwenye uzoefu wa job with similar work mkandrasi yuko vzuri pia ni Mkandarasi mzawa anafanya mradi mkubwa wa lami...
Dodoma ni pakubwa jamani halafu pamepangiliwa kimji zaidi huwezi ukaimaliza dodoma kwa miguu utoke st.john university uende Udom kwanza kuimaliza udom 2bkwa miguu ni issue kisha uende ihumwa jeshini hombolo bwawani uingie area a,area c,area d kisasa kisha utokee mailimbili,mnadani,mipango,madini...
Mtoa post ngeleja kwake ni ibisabageni,busisi ni ukweni kwa magufuru yaani nyumbani kwa mama jesca, kweli issue ya maji sengerema bado haijakamilika sawasawa bado kizungumkuti ngoja tuone ahksante wadau mungu awabariki.
Vitu ambavyo vinapandisha gharama ya ujenzi
1.desgining yenyewe inawezekana ni underground na aina ya mgawanyo wa room kwa maana ya vijiofisi
2.Aina ya udongo kuna kipindi unatakiwa utoe udongo uliopo kama haufai
3.Gharama na aina ya vifaa vya ujenzi(upatikanaji wake na bei ya soko kwa muda huo)...
Kumbe alikuwa anakwiba miradi ya barabara ya kina ndugai kanda ya kati na kupeleka kwao mtwara basi yuko vzuri ndugai yeye anashangaa 2 anamuwaza Lisu muda wote huku miradi ikiibiwa na mwanamama bi.hawa
Vp waheshimiwa bei elekezi ya vinywaji vyenye kilevi imepanda au?maana huku mwanza hali kwenye
vibanda vya starehe vimebaki viti huku wahudumu wamesinzia kwenye viti wataja hawaonekani vp uko kwenu wakubwa?
Siku zote uwaga namueshimu sana lema kwani lema ni muwazi na mkweli kwa kila anachokisamimia,lakini zito kiu kweli ni mnafki na mpenda sifa ambazo hazimsaidii na wapiga debe wake wengi ni wana ccm na masalia
CCM ndio inalipua makanisa na kufadhili vitendo vya kiagaidi vikiwemo mauaji ya badri zanzibar,uchomaji wa makanisa,kulipua makanisa kama lile la arusha wee haingii kichwani mlipuaji wa bomu kanisani arusha mtuhumiwa kakimbia anakamatwa muendesha bodaboda kijana ambrose aliyembeba mtuhumiwa na...
Jamani tuwe wakweli tumuogope mungu ccm tangia lini ina ubia na wachaga na inawachukia wachaga kama ukoma na ndio waliomfanyia hivi kijana wa watu kisa ni mchaga pole sana tesha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.