Miaka michache (chini ya 5) iliyopita, nilikua nahitaji kijana msomi na makini mno ili asimamie biashara yangu mpya. Niliwafanyia interview graduates 32 na sikupata mtu. Mama yangu akaniambia tafuta chuo chochote Dar, ulizia mwalimu wao wa biashara, mwambie nature ya biashara yako, muombe akupe...
Nikikupatia mtu wangu wa karibu wa kukupa hio pesa, malipo yatakuaje? Nikimaanisha unategemea kuirudisha ndani ya muda gani? Hats kama in Kwame mafungu, haye mafungu yatakuaje?
Mie in ke na nimeolewa na na sihitaji chochote kutoka kwako zaidi ya kukusaidia, na malipo yawe fedha taslimu na si...
Nina mengi ya kuchangia ila muda si rafiki mno kwangu leo hii. Nina mzazi alisoma udsm na akaenda nje kwa ajili ya masters, hio ilikua kama miaka 40 iliyopita. Alivyorudi kutoka masters, alikaa miaka 2 ndani ya shirika lililomsomesha nje, akabadilisha vitu vingi ndani ya shirika hilo na baadae...
Issue yako sio ngeni wala sio ngumu kihiivyo. Ni kwamba tu wote wawili hamjaamua kua wote kijumla jumla. Mkiamua kua wote kutoka moyoni, hio issue itakua nyepesi tu
Mie nashauri ukae chini uongee na huyo mdada taratibu na kwa umakini, ili muweze kujua Hatma ya mahusiano yenu. Hapo hamna limbwata, ni watu wawili waliopendana kwa dhati huku mmoja akiwa mke wa mtu, na mwingine ni single. Hua inatokea ila cha muhimu wote wawili lazima mkubaliane jinsi ya...
Sidhani kama mtu anayeishi na wazazi wake anaweza letA wanawake tofauti tofauti hApo home.. Hii sijawahi ona wala kusikia. Mie naona nyumbani wanakoishi wazazi wako ni Muhimu kuPaheshimu. Kijana unayemzungumzia hapa Ni kijana asijielewa, na hawa wapo hata huko mitaani walipopanga.
KaKa zangu walisoma nje, walisoma na kufanya kazi hUko kwa muda mrefu, walivyorudi walikaa nyumbani, wakaanza biashara, wakanunua viwanja, wakajenga nyumba zao na kuboresha biashara zao, walivyooa walihamia kwenye nyumba zao walizojenga wakiwa wanaishi 'nyumbani'. WaliVyokua wanadate wachumba...
Miaka 5 unalalamika kuhusu mume wako, na bado hujapata suluhisho. Mzazi mwenzaKo katangulia mbele za haki, Hii inamaanisha wewe ndio kila kitu kwa mwanao, meaning inabidi uwe na kipato kinachoeleweka ili mwanao asome na kupata maHitaji yake Muhimu. Sasa hata kumuhudumia mwanao huwezi, ukijua...
Yaani kwa kweli huu uzi umenikumbusha kisa kimoja Kilinitokea zamani mno, nilikua chuo enzi hizo.
Nikitulia nitakisimulia hapa ila ni maMbo haya haya..Dah, nilishasahau
mgonjwa wangu alishapelekwa nje. Nyumbani ilikua in mchezo wa kuguess tu tatizo lake tukaona bora aondoke. Alienda hospitals zaidi ya 9 including Muhimbili na wote ilikua guesswork tu. Tunashukuru Mungu anaendelea vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.