How comes kitu cha plastic kinapikwa na hakiyeyuki, na hao wadudu wanaishi vipi kwenye huo mchele, wataalam hebu tufafanulieni juu ya suala hili, binafsi lina nitatiza sana
Hii kodi itakuwa kubwa kuliko tunavyo fikiri, mafuta ndio factor inayotoa muelekeo wa kila kitu, yakipanda hakuna kitu kitasalia, so hapa maumivu kama kawa
Daaa ni siku ya nne toka nimefika hapa Mtwara mjini, kumekuwa na tabia ya kukatika kwa umeme kila ifikapo saa 12 au saa moja jioni, kurudi 4 au 5 uck.
Tanesco hebu litazameni hili jambo
Dili kama hizi watu wa buku 7, kimyaaa, utafikiri sio ufisadi, wanavyomsakama Lowassa sasa,
Kama ni haki bc Lowassa na hawa wakina Lugumi wachukuliwe hatua, na sio kumuandama Lowassa pekee,
Hujapata ukurugenzi bado? Au ndio unafukuzia ule wa Bagamoyo, jadili issue ya Kinondoni, hujafika mtoni unataka kuvuka, 2020 ni miaka mitatu ijayo mbona unaharaka na issue za chadema.
Una nini wewe mtu! !!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.