Anapewa miongozo na wadosi kupinga kujadiliwa kwa issue kama mgomo wa wa walimu.....majina ya mafisadi wabunge kutotajwa bungeni ndani ya kipindi cha bajeti,....kusupress oposition n.k
Baada ya Jembe Sitta kutolewa kwenye kiti, maspika wa wakati huu wanapelekwa pelekwa
Uhuru unakaribia..si kitambo sana. Tatizo watu wengi wameshindwa kusoma alama za nyakati. Na mgomo wa wakulima kanda ya ziwa unakuja. Si mnasema CHADEMA wanahusika?
Haya, yetu macho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.