Hapana haifai hata kidogo kujaribu kuoana,kwa kuwa unatambua ukweli kuhusu kifo cha marehemu baba yako sio muhimu sana kumwambia,achana naye na pia huwezi tambua hasira ambayo iko kwenye nafsi ya ndugu zako na jamaa zako na hata siku ukiweka wazi kuhusu kuoana naye hawatakubaliana na wewe,kama...
Kaka ni maamuzi sahihi kufanya hivo,na umefanya maamuzi ya busara.Kupotezea mawasiliano yake sio vyema,mnaweza baki kama marafiki kwa ajili ya kubadilishana mawazo.
Uuh!,mimi napita tu na hayo mapenzi ya zamani ndo yakoje,ndo maana ya utandawazi na wakati tuliopo sasa,kwani kila jambo na wakati wake kwani hata wa sasa watakuja sema kuwa bora enzi zetu.Kila jambo lina wakati wake.Naomba kuwasilisha.
Bunge la sasa linakera tena sana na halina ladha kuangalia wala kusikiliza,wabunge wengi wengi wa CCM wamekuwa ni mipasho tu kuliko kuchangia hoja.Wanashindwa kuelewa nini upinzani na mpinzani ni nani,kinachoniudhi ni pale anaposimama mbunge kabla ya yote na kusema kuwa anaunga bajeti kwa...
Kilichoniudhi na sikuipenda ni pale alipoingia na wajumbe walisimama na wakiimba wimbo wa "Tanzania",alikuwa akitafunatafuna ,haipendezi hasa kwa mtu mzima na hasa kwa nafasi yake kufanya hivo,wimbo wa Taifa na wa kuisifia nchi yetu ni nyimbo ambazo zinahitaji kuonesha na kutabasamu na kusimama...
Nimekumbuka kile alichosema Tundu Lissu pale mjengoni kuwa wakuu wa wilaya na mikoa ni wanasiasa na hivo hawapaswi kuingia kwenye kamati za maadili ya mahakama zetu,nakubaliana na hili kwa dhati kwa sbb ya kile kinachoonekana sasa kwa Nape,ameshindwa kujitambua kuwa yeye ni DC na kubakia kwenye...
Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Wilson Mukama!!,"anasema kuwa Dr.ni mchanga wa siasa,hivi kati yake na Slaa ni nani mchanga wa siasa?,mbona alikuwa hafahamiki kwenye ulingo wa siasa.Mfa maji haachi kutapatapa,anapayuka sana ni afadhali ya Makamba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.