siku uliyo upload video ni jana na leo unaleta uzi hapa na hao uliowahoji bila shaka ni makada wenzako tuu,af sauti inaonekana yakuigiza ya mtu mmoja,ningeamini hiyo video kama ningeona ulikua unahoji watu live ukiwa barabarani
CCM OUT
TULIANZA NA MUNGU TUTAMALIZA NA MUNGU KWA AMANI
Hii Habari nimelinganisha na picha nilizozipata jana za twiga kukamatwa nawanyama kuuwawa zilinihuzunisha sana,nikakosa Raha kwa mda,Sijiskii vizuri nikiona taifa langu linamomonyoka na tunaowalipa mishahara na kodi zetu wanakaa kimya pamoja na viongoz
DAAAAH:embarrassed: SOO PAINFUL,EEEEH...
bila shaka wewe ni TEAM YA IT wa team ya kijani from masaki,umekua member juzi tuu 12/9/2015,LEO UNATOKA POVU LILILOCHANGANYIKA NA DAMU,shoka liko shinani october linamaliza show
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.