sijajua nini response ya wabunge hao wa senate but ingekuwa tanzania kuna watu wangezimia au kufa kabisa hasa MAGAMBA ie anna killer ngo, sophia simba, lyatonga mrema,etc
labda kama hao waandishi wana maslahi ya kisiasa otherwise msigwa ni mchapakazi na kila anachofanya huwataarifu wapigakura wake kupitia mikutano ya hadhara au redio overcomers.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.