Mchungaji alikuwa anawafundisha vijana somo la upendo na kusisitiza "PENDANENI KAMA MUNGU ANAVYOTUPENDA". Baada ya mwezi mmoja, kijana mmoja akamwendea Mchungaji na kumwambia, "MCHUNGAJI, SOMO LAKO LILIELEWEKA, NILIMPENDA MSICHANA MMOJA, AMEPATA MIMBA, SASA NIFANYAJE?
Msichana wa kazi kujipenda ni vema sana. Isitoshe unapokuwa na msichana kama huyu unauhakika wa kuwa salama kiusafi ndani ya nyumba na ubora wa chakula. Ni vema tukajali pia haki za binadamu kwa kutowanyanyasa wafanyakazi wa ndani na pia wanaume tujitahidi tusiwake tamaa kwa msichana wa kazi...
Ndio maana Hayati Mwalimu Nyerere aliwahi kutokwa na machozi siku azimio la Arusha lilipovunjwa kule Zanzibar hasa ilke misingi yake, kwamba ili tuendelee tunahitaji vitu vinne, watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. BADO HATUJAPATA VIONGOZI BORA. waliopo ni BORA VIONGOZI!
Bwana mmoja na mkewe waliishi miaka mingi bila kupata mtoto. Walifanya kila waliloweza, hospitalini, waganga, washauri, lakini bila mafanikio. Hatimaye baada ya kushauriwa na mtu wao wa karibu kwamba waende kanisani kuombewa, wakaenda. Wakamkuta padri na kumweleza shida yao. Padri akawaambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.