Magufuli ni MSEMA HOVYO, MLOPOKQJI, MPENDA SIFA, MWENYE MAJIVUNO NA KIBULI, ASIYEFIKIRI KABLA YA KUTENDA, MUUZA NYUMBA ZA SERIKALI, n.k. Aache kuuota urais. Kwa tabia yake ya kuwadharau wananchi, hakuna rais mwingine tena ajaye anayeweza kumpatia hata uenyekiti wa kijiji. Kama wana Chato...
Naungana na wewe kwamba nchi imeongozwa hovyo hovyo mpaka watu kama akina mwandosya nao wanauota urais. Huyu waziri asiye na wizara maalum hana lolote na ana kiburi na nyodo sana. Yeye ndiye aliyeivuruga DAWASCO kwa maslahi yake binafsi. Alimwondoa CEO mchapakazi Bw. Kaaya kwa maslahi yake tu...
Watu wengi wamekuwa wakiidharau Brazil lakini wao wanaendelea kuchanja mbuga. Sasa wanaisifu Ujerumani lakini mwisho wa siku watashangaa mkoloni anaangushwa pwaaaaa!!!
Wajumbe,
Kama kuna jambo linalonisononesha sana ninapotazama mwenendo wa Bunge letu ni namna hoja nzuri za wabunge wa upinzani zinavyotupwa na kiti tena kwa kejeli ya hali ya juu na kuungwa mkono na wabunge wa chama tawala. Wakati mwingine nimekuwa nikifikiri kwamba ningekuwa mimi huenda...
Well said. Uchaguzi unapokaribia kauli za kutetea wanyonge ndipo hujitokeza. Sijui kama mwigulu ana moral authority ya kuwatetea wanyonge wa nchi hii!!!
Maswi is confident and I tend to believe him. Unajua mtu asiye na agenda ya siri hapepesi macho anapoongea kuhusu jambo fulani and this is what Maswi does. Kafulila na Zitto wamekanyaga moto.
Hii story ukiisoma "between the lines" utagundua kuwa imelenga kumnadi mwigulu. Zipo taarifa kuwa mwigulu nae anauwinda uRAIS na Kangi Lugola aliongea hivyo bungeni bila kupepesa macho. Kadri tunavyousogelea mwaka 2015 ndivyo maandiko ya namna hii yatakavyoendelea kushamiri. Mwigulu siyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.