sio mzombe,ni mkombe,kama unuvyojua ndugu vyombo binafsi watangazaji wanatangaza kwa matakwa ya wamiliki,wakati mwingine hata wao wanashindwa kwenda against na wamiliki,wahurunmie
Mkuu unapo-post issue hii jaribu kuwa na evidence za uhakika ,ninavyojua mimi vyuo vinavyotoa bachelor ya BBA viko vingi,tafuta ushahidi kama chetu alichowakilisha kinaonyesha ni cha UDSM,hapo tutakuwa tumejiridhisha.
Tunahitaji kiongozi ambaye ataweza kusema jambo na viongozi walio chini yake(w/mkuu na baraza zima la mawaziri)likatekeleza maelekezo bila wasiwasi na sio serikali yenye wasemaji lukuki,Dr Slaa anafaa,tumpe nafasi 2015.
mbna hawa UVCCM siwaelewi?ukiangalia vijana wa CCM UTAKUTA NI WA AKINA JK wadogo,na wengine wengi,watu tunafanya siasa tu tokea miaka 49 iliyopita huku mambo mengi yakienda mrama,na kwa taarifa tu kwa kipindi cha 2010-2015 kuna vijana zaidi ya milioni moja watapiga kur na nina amini ndio utakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.