Kuna wazazi ukiwa na hela wanakuona miungu mtu sasa hivi kweli mama yake diamond kakubali kabisaaa kuona mwanae kaolewa na huyu kibibi. maadili yanapotea kabisa hakuna mapenzi hapa ni uchafu na kichefuchefu
Pole kaka kwa yaliyokukuta ila mimi nimepanda kwa hiyo bei 32000 + vat return na nilifanya booking online an then nikaenda kulipia ofisi zao ila sijui kama wewe ulilipa ndani 42 hours maana ukichelewa hapo ndo inakuwa shida nyingine halafu kumbuka kuwa cheap flight siku zote ndo lazima ziwe na...
Wewe mtoa mada unafurahisha kweli siku hizi mwanamke ukikutwa bikra ni hasara kwa jinsi kwa sababu mliheshimiwa lakini mmekutwa hamna hadhi tena ya mwanamke kujitunza kusubiri mume amkute bikra so uwezi kurudisha utamaduni nyuma na pia sio wanawake wote wanatolewa bikra na wengine tunajitolea...
Jamani sipendi kungilia dini lakini hapa nitasema huyu mwingira anakosea kusema kwa sababu ukisoma maandiko kila kitu lazima kiende na sadaka kumtumikia Mungu ni gharama ndo maana alisema kuwa ni rahisi ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko binadamu kuingia ufalme wa Mungu sasa huyu babu...
Kama ni kweli wamesema hivo basi waislam wamekosa sera angeenda kufanya research aone walivyojaa kwa babu duh yaani kweli waislam wanaitaji maombi kwa maana hizi sio akili zao. Ukitaka kuwauliza reason kwanini waislam wasiende watakupa sababu ambazo hazina maana kabisa maana najua wanachopinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.