Dogo mmoja akiwa road akiwa kavalia kandambili chakavu zilizo na mishono zaidi ya mia moja.
Gafla kandambil hzo zilikatika. Dogo akiwa anaangaika kuzitengeneza mara atatokea babu mmoja ambaye dogo alimuomba amsaidie kuzitengenez.
Baada ya babu huyo kuzchek nakunna ni vgumu kutengenezeka...
Inasikitisha pale rais wetu mpenda jk anapozdi kuwakumbatia na kuwapa nyazifa viongoz waliomwagwa na kukataliwa na wana nch katika mchakato wa uchaguz 2010.
Mfano Kamala aliyekua mbungd wa nkenge, malmo.
Kwani hakuna wa2 wengine wanaoweza kukaim nafasi hyo?
Selikar ya Tz bwana! Inategemea miujiza katika kuboresha elimu. .
Baada ya matokeo ya la saba serikal yatoa tamko kwamb mwanafunz aliye fauru na hajui kusoma na kuandika hasripot katka shule aliochaguliwa. Swali ni kwamba kwanini serikal ilifuta mchujo wa darasa la nne. Kupitia mitihni hii...
ujui jf kuna madaktar? Au unadhani wana jf wote wana akili kama yako. Ukiona huna msaada potezea. Umetumia masabur nin? .
King'ast ni mfano wa kuigwa na watu wenye mawaz kama yakendoinafaa 2wenao huk jf
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.