Search results

  1. K

    Nafasi za jwtz

    Nami nimo kwenye msafara wadau. Ila msije interview na tai, njoo na vyeti na vitie kwenye mfuko wa nilon make bahsha ukikimbia ukaswet vitarowa
  2. K

    Mpenzi Natasha!!

    Ulisahau kumwambia hv. Tafadhar usipoipata hii barua naomba unijulishe.
  3. K

    Me ni "Msagaji"

    We msagaji? Kwani unafanya kinyume na matakwa ya god
  4. K

    Kandambili zlivyozua kizaazaa Igunga

    Dogo mmoja akiwa road akiwa kavalia kandambili chakavu zilizo na mishono zaidi ya mia moja. Gafla kandambil hzo zilikatika. Dogo akiwa anaangaika kuzitengeneza mara atatokea babu mmoja ambaye dogo alimuomba amsaidie kuzitengenez. Baada ya babu huyo kuzchek nakunna ni vgumu kutengenezeka...
  5. K

    Umewahi kusikia mashndano haya?

    We mkarri
  6. K

    Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

    Ekitakushekye nyoko alaruka
  7. K

    Kikwete kulia au kushoto?

    Inasikitisha pale rais wetu mpenda jk anapozdi kuwakumbatia na kuwapa nyazifa viongoz waliomwagwa na kukataliwa na wana nch katika mchakato wa uchaguz 2010. Mfano Kamala aliyekua mbungd wa nkenge, malmo. Kwani hakuna wa2 wengine wanaoweza kukaim nafasi hyo?
  8. K

    Bibi na Meneja wa Benki

    Huyo bibi ni mjasilia mali wa ukweli
  9. K

    Elimu ya kichawi

    Selikar ya Tz bwana! Inategemea miujiza katika kuboresha elimu. . Baada ya matokeo ya la saba serikal yatoa tamko kwamb mwanafunz aliye fauru na hajui kusoma na kuandika hasripot katka shule aliochaguliwa. Swali ni kwamba kwanini serikal ilifuta mchujo wa darasa la nne. Kupitia mitihni hii...
  10. K

    Naomba kusahdiwa jamani

    ujui jf kuna madaktar? Au unadhani wana jf wote wana akili kama yako. Ukiona huna msaada potezea. Umetumia masabur nin? . King'ast ni mfano wa kuigwa na watu wenye mawaz kama yakendoinafaa 2wenao huk jf
  11. K

    Naomba kusahdiwa jamani

    Ntazingatia ushaul wako thenks
  12. K

    Naomba kusahdiwa jamani

    Namgenda sana girl friend wangu but ananinyima raha kwani anaharufu mbaya kinywani. Kumwambia nashndwa atahsinamnyanyapaa. Nikikataa anidende anakasirika.
  13. K

    Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

    Katelero yagiteka
  14. K

    Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

    Ekitakushekye nyoko alaruka
  15. K

    Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

    Bakutola walambikiliza
  16. K

    Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

    kyetiza akatelwa enyomyo yengambilo
  17. K

    Wasichana wa Kinyarwanda

    Wana dharau na ukienda kwao kama mgeni unachinjiwa ndama kama wa miezi minne
  18. K

    Ni mkoa gani una maisha rahisi hapa Tz?

    Bukoba. Sangara simple, senene full maprotn, matoke,
  19. K

    Ni mkoa gani una maisha rahisi hapa Tz?

    Dodoma maisha very simple. Guest mpaka buk, misos chee. Posho ni utapel. Je bunge lingekua linaendeshwa arusha au dar ingekuaje?
  20. K

    Yanini kujisifu

    Hivi kwani katiba mpya ni ya m2 binafsi,chama au wananch sote? Basi mi vyama vya siasa vinavyojisifu kua ndowaanzilish wa mchakato huo wananiudh.
Back
Top Bottom