Search results

  1. Fredrick Sanga

    Katiba Mpya tutumie ile ya Warioba badala ya kuteketeza pesa

    Yaani Tume ya Warioba ilishamaliza kazi. Ila tuna shida! Kuuza uta wa mtu ni sawa na ushoga tu.
  2. Fredrick Sanga

    Waziri Ndumbaro acha kupotosha umma, Tunataka Katiba Mpya iwe na uwezo wa kutatua changamoto zetu. Ikiwezekana kumshtaki Rais na Mawaziri

    Hiyo ni katiba butu, Huyu Jamaa hajui kitu kuhusu katiba iliyojitosheleza. Inang`ata. Hata yeye asingepata hiyo nafasi. Ana uwezo mdogo sana
  3. Fredrick Sanga

    Naam! Huyu ndiye Dkt. Bashiru Ally, mpenda makongamano na hoja. Wanasiasa wamzungumzia…

    Niseme wazi tu, ni msikilizajia sana wa uchambuzi wa Dr. Bashiru, na huwa na walinganisha na wengine wa ngazi hizo. Niseme tu wazi CCM imefanya uteuzi ulionigusa, na kuanza kukumbuka zamani nikiwa TYL, na moto uliokuwa unawaka. Huyu ni mchambuzi wa mambo yakinifu, na chama chochote kingemuwahi...
  4. Fredrick Sanga

    Bishop Gwajima kujibu leo kuhusu madawa ya kulevya

    Duhhh, Ewe Baba wa Mbinguni, Najua unayaona haya, Ingilia tu kati sasa Baba, umalize sasa.
  5. Fredrick Sanga

    Hotuba ya Rais Magufuli uzinduzi wa hosteli Chuo Kikuu Dar Es Salaam (UDSM)

    Hapa sasa sawa, kinaeleweka. Safi sana.
  6. Fredrick Sanga

    Issue ya Mikopo ya Elimu ya Juu itamharibia sana rais Magufuli

    I see, hivi hapa kuna mini, sijaelewa. Watoto wananyimwa hela yabkula?
  7. Fredrick Sanga

    Demokrasia katika nchi masikini ni umasikini

    Hahahahahahahahaha
  8. Fredrick Sanga

    Demokrasia katika nchi masikini ni umasikini

    How does the economic openness of a country affect its distribution of income? How does the level of democracy affect a country’s distribution of income? These questions are addressed in two literatures. The effect of economic openness on the distribution of income is studied in the literature...
  9. Fredrick Sanga

    Demokrasia katika nchi masikini ni umasikini

    Aaa Yerico, Eti umesema wanauta udicteta gani? Kenya sasa wanajitegemea 100%, utamu wa katiba nzuri huo.
  10. Fredrick Sanga

    Demokrasia katika nchi masikini ni umasikini

    Huu ni uchafu mtupu, Nenda Botwana, nenda Ghana, Nenda Afrika Kusini. Au unataka kusema Kaburu Arudi? Kwanza tunahitaji katiba bora inayozingatia utu, haki, watu na urithi wao kwa maslahi ya taifa. Kwa mfano Botwana wakiuza almasi wanapata 70%. Haya manchi yasi na katiba yanapata 3 - 10%. Hayo...
  11. Fredrick Sanga

    CUF bara wamlaumu, wamtega Maalim Seif Sharrif Hamad

    Shule muhimu sana, hivi Seif ndie anaechagua au kutambua mwenye kiti? Duhh. Haya Ni maajabu ya Dunia.
  12. Fredrick Sanga

    Vyama vya upinzani vitaondoka lini kwenye ukosoaji na kuingia kwenye ushauri?

    Kwa kweli wanatakiwa kusifu Na kuponda. Sio kuponda tu. Ila wapewe freedom of gathering, meeting etc. It HSS been proved to useful in countries like Ghana and Botswana and now Kenya, RSA etc.
  13. Fredrick Sanga

    Serikali yatelekeza vijana wa kujitolea JKT 2016 iliyowafanyia usaili mtaani.

    Daws Ni kulima nyanya. Huko mtalima nyanya pia.
Back
Top Bottom