Edmund
Mkuu umechanganua vizuri. Ila umesema mapato ni Tsh 500/= kwa tikiti moja?. Ni wapi huko? Mbona masoko mengi Dar tikiti moja ni wastani wa sh 3000/= mpaka tsh 5000/=.
Hiyo mara nyingi ni kwa watotowatoto ki ma penzi. Wenyendoa hawanaga tabia hizo. Hata kama una namba ya rafiki wa mume mke wako hauthubutu kupigapiga hovyo ki hivyo kwani nyumbani patakuwa pa moto na hata chakula ya usiku hamtokula vizuri!.
Sawa mkuu. Ila naomba nielimishe.Miaka si mingi nyuma Mahakama ya Zanzbar iliwaachia wanachama wa CUF ambao walishtakiwa kuwa kuwa ni wahaini. Judge alisema kwamba mtu yeyote hawezi kufanya kosa la u haini Zanzbar kwa anayeitwa Rais wa Zanzbar kwani Zanzbar si nchi na ili aweze kusemekana...
Huyu mtoa mada nahisi anafikiri kwa kutumia masaburi. Amini angeachiwa angeona utamu na angeweza kutugonga mpaka Dar! Angefuatilia vizuri angepata moja ya hotuba aliyotoa Fashisti Idi Amimi akiwa pale Kagera huku akiwa amesimamisha bendera ya Uganda(TBC na kitengo cha habari JWTZ wanayo)...
Kauli hiyo ni ya uongo na inaficha maovu. Ina maana unaweza kutembea uchi saa 6 mchana Kariakoo simply mavazi sio issue tatizo tabia. Hicho utakachokua unafanya ndio tabia mbaya yenyewe!
Tafuta vitabu vya hisabati upitie haya:namba nzima,namba za kuhesabia,equal to,less than,greater than,less or equal,greater or equal,inclusive,exclusive. Vitakutanua zaidi mawazo!
Kumbe timu ilikuwa hivi! Akh! Lazima watu wazomee. Na nasikia Julio aliwahi kuropoka kwamba Yanga hawachagui kwa kuwa hawana vipaji! Labda amchague Mwape na Asamoah. Kauli na matendo ya Julio pia vili haribu umoja uliotakikana.
Lowasa kuongea TBC wala si tatizo. Kilichonishangaza mi labda na wengineo ni kasi aliyotumia kutoka uwanjani mpaka TBC! Kwani dakika tu alikuwa stadium na nguo zake zilezile!. Na mtangazaji aliyemuhoji ameonekana kama kampokelea getini ndipo wakaelekea wote ndani studio(alikuwa anamsubiria...
Mmoja nilimsikia anasema wawahi kutoka ili waziwahi kwenye viti virefu pale Hongera Sinza. Nadhani walikuwa watu wa TBC wale. Pale si jirani na ofisi zao.
Demonstration ya silaha za kivita wala si jambo baya ki inteligencia. China,Russia Korea nk huwa wanafanya maonesho ya silaha zao mara nyingi tu.Kumbuka silaha zilizopo kwenye kila nchi unaweza kuzijua uki taka kwa kupitia mitandao. Kinacho matter ni uwezo na ujuzi wako wa kuzitumia. Kumbuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.