Kwa wale watakaonunua samsung s III and Note II kutoka nje ya nchi ambazo huwa zinatumia simcard za huko tu. Hii njia itafungua sim yako iweze tumia simcard ya mitandao yote ya hapa nchini.
Njia hii ni BURE!!
Note that this method may not work for all Galaxy S III or Note II variants. Also keep...
Mi niliwaka mpaka wakachonga bure, yani vodacom kabisa wanadai elfu 10,000.
Hata aibu hawana....hizi njaa bwana. Elfu kumi kabisaaa! Hehehheeee. :banghead:
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Hahaha! Sasa mi jamaa namuelewa sana, amechoka na mambo ya madada wetu asili ya kiafrika!
Wahindi wengi wao hukaa na wapenzi wao bila kutoka nje ya urafiki. Waarabu pia hutulia pia, wakikupenda huwa wanapenda na nyumba. zao.
Sasa wenzetu, madada zetuuu........weeeeeeeee!!! utampa kila...
Kwanza mdada, anajua jinsi ya kumkwepa mdingi wake...sasa inamaanisha nimtaalamu wa kutoka usiku.
2. Katuma barua kupitia kwa mashikaji...inawezekana ndio zake
3. Amekuona wewe mpole na hujui nendo zake....maanake alikopita si kwema sana
4. Yuko radhi awe na wewe hatakama umelala la...
Binafsi naangalia
1.tabia
2. uzuri wa umbo na sura!!
siku hizi mambo mengi, wanawake wanabeba mizigo kutolingana na tonne zao.....ndio sasa kuchoka alafu anatako aolewe!!! hehehe!
Ndugu, unahitaji generator yenye silent canopy ya Kilowatt ngapi?
Pia unataka iwe inawaka automatic na kujizima?
Je unaitaji air condition inayotumia solar pia?
Kuna njia nyingi za nishati za mbadala kama,
1.Biogas, inatokana na mbolea hasa ya ngome kutengeneza gesi, hii unaweza pikia amakuwasha taa za gesi. Ni rahisi pia kuinvest.
2.Kuna solar, kutokana na miyozi ya jua, unaweza tumia kwa taa na hata kupikia kwa kutumia majiko ya sola. Bado...
Biologically, ni tatizo la hormone. Kwa Tz hormone therapy sijui ni wapi wanafanya na ningumu kucontrol hali hiyo kwani ni chemicals za mwili. Unaitaji kumuona gynecologist, mtaalamu wa mambo ya wanawake watakupa ushauri zaidi amadawa za suppress hormones hizo.
Alafu jua nipples ni very...
Wazungu au niseme watu wa nyanda za juu, wenye matawi yani pesa kibao....hizo 4 letter wanazikabili hivi,
Dust, wanatumia vacuum cleaner na air filters kwa ajili ya air inlet ya nyumba kutrap dust!
Wash, wanatumia mashine za kufulia na dish washers
Iron, wanatumia iron press ambayo inanyoosha...
Kwanza kabisa Gaga, nikipenda kukupongeza kwa kuwa mkweli na fuata maelekezo ya michelle....! Pole sana, ndio maisha ya kimapenzi ila na mme wako aache ujinga maana....watoto wa nje au STD ndizo zitafuata!!!
siku hizi zimelaaniwa sana...yani mke ni wa wote na mme ni wa kila mtu!! Balaa...
Mi naona voda is the best, kwa kutumia package yao ya unlimited (free download and upload) ya Tsh, 30,000 kwa siku 30.
Package hii haina limit ya download limit na usiku unapata 512Kps ambayo inaweza download kwa speed ya 60KBps. Movie ya 700mb ni masaa 3 tu usiku.
Kama unataka speed zaidi ni...
Mambo ya mtandao na umix mix wa ma culture ndio tatizo....sikuhizi maduu hata kilugha hawataki kujua.....yani ni english kwenda mbele ili na chat ipande...c unajua msomi nini!!!
Sasa ilikupata huyo doo wa kibongo ki ukei inabidi uwe na mipesa ka ya samaki ua migodi, wanasahauu kingereza na...
Internet ni complex kinoma, ila watu wakitaka kujua details zako wanapata bila hata ya mwenywe forum kujua, moja wapo ni ku fish IP address yako na location yako kupitia servers wako. Ziko tools kibao za kufanya kazi hizo.
Ila hizi zinatumika hasa kwa ajili ya kupata infomation za password za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.