Wahenga wanasema "Never say Never", ndivyo misingi ya dunia ilivyo, Ukiona unamtegemea Mungu na unafanikiwa Mshukuru Mungu lakini usiwadharau wale ambao wana imani haba, waombee!
Kuna watu wanaotumia nguvu za giza na wanafanikiwa mfano wake ni wasanii wakubwa ambao wamekaa kwenye game kwa mda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.