Sasa kama kafuta sherehe za uwanjani na hakuna aliyebisha na kulazimisha ziwepo kubadili fedha zake shida itakuwa wapi. Bunge lilipitisha walipwe posho za vikao na umeskia hazina wamezichop, hizo za uhuru nini kikwamishe
Inawezekana ajawahi kucheat kweli, lkn kufurahika kupita kiasi na kutokana na ukweli kwa hawakuachana kwa ugomvi, lazima itie shaka future ya uaminifu wake
We unamiaka zaidi ya 20 lkn nna uhakika hujafanikiwa kila kitu, sasa huyu ndo kwanza ana mwezi mmoja ushaanza kulalamikia mambo anayotakiwa kuwa kayafanya baada ya miaka mitano
Sasa ma Mdogo unafikiri hao wakuu na wabunge ndo wanafanya upelelezi? Hao wabunge viongozi wanasoma ripoti wanazopewa ambazo hazikufanyiwa kazi watakavyo
Huyu naona anazingua tu, wengine wamesema ule wengine wamesema usile, utachukua lipi sasa. Mnk mwamuzi wa mwiaho ni ww, na uamuzi unao Tayari Kabla hata hujaja hapa
Nahisi nimekuelewa, ila ambacho cjaelewa, na itabidi unieleweshe, wakati wanateuliwa kupewa hizi nafasi uliwahi kuhoji kwanini waislam tu? Hakuna wakristo wa kuwapa nafasi
Wangapi wana hardtop, wengi wao wana maUsed ambayo hayafki ht nusu ya 90 ya zamani, wahuni hawa. Mbunge wa nyamagana hardtop ya Nini wakati hata carina anazunguka jimbo zima
Tafuta maandiko 'leadership dubai style'. Mtafute baba wa Singapore Lee Kwang style yake ya uongozi. Pia tafuta ya Steve Jobs af uje usemee tofauti ya uambiwayo na westerners kuhusu hii style ya uongozi
Shida ya wasiotaka kuelimika wakiona maandishi mengi hivyo hawasomi, wanakimbilia kuchangia ujinga na kuendelea kulalamikia serikali, mf hao waliogundua opportunity ya kufata vitu china ilkuaje, hao wanaofuga kuku serikali imewashikaje mkono, shida ni kutaka kuajiriwa serikalini wakati hata nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.