Tanzania kuna ujinga mwingi sana. Job kaachwa Yanga wanapiga kelele. Ila kuna mambo ya msingi hawayaoni kabisa. Mfano mzuri, Kibu na Mzize wameitwa national team ila Waziri Junior hajaitwa. Kibu hana goli hata moja, Mzize hata sijui kama amefikisha manne. Hakuna anayesema. Yule center back wa...
Wapumb.avu kama nyie hata kuwajibu ni aibu kwangu. 1998 Yanga walicheza Ligi ya mabingwa Dar uwanja wa Taifa? [emoji23][emoji23][emoji23]
Watoto waliozaliwa 2000 mana shida sana. Games zote za makundi zilichezwa Mwanza CCM kirumba bwege wewe.
Wewe jamaa either una mtindio wa ubongo au ulivyozaliwa hujalia ukatiwa kidole ndo ukalia.
2010/11 Simba anacheza na Mazembe hapa kwa mkapa Simba anakufa 3-2 game inayomtoa samatta anaenda mazembe Yanga walivaa mashuka au sidiria ya mkeo.
Au wakati huo ulikuwa kwenu Tandahimba
Hersi na yule mkaa tako moja walivaa jezi za Kaizer Chiefs na Orlando pirates. Hersi alienda mbali zaidi akawapigia video calls wachezaji wa berkane baada ya kuwafunga Simba.
Huo uzalendo umeanza leo? Kama ni kosa kisheria waanze na hao kwanza
Time really flies aisee. Miaka Ile Bills, Mambo Club hatari na nusu. Sio kwamba hizi open bar hazikuwepo. Weekend imefika jioni unajongea Jolly pale au Qbar unaanza mdogo mdogo moja moja hadi saa 6 unazama bills hadi alfajiri. Dah maisha yake hawawezi kujirudia. Watu wastaarabu wanajua muziki...
Kama Una kumbukumbu nzuri rudi nyuma msimu ule game na hilal mlisemaje kuanzia uongozi hadi mashabiki.
Mwisho wa siku ni maneno tu uwanjani mambo ni tofauti
Sio kufa tu hata account za watu ambazo hawajazifuatilia muda mrefu zinapigwa. Imagine acc ya mtu hajacheki salio wala kuweka au kutoa fedha kwa miaka let's say mitano. Naskia branch managers ndo zao, huwa wanazipitia accounts za branch yake akikuta iko dormant anaanza kuifuatilia kwa ukaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.