... nitakuwa mkosefu wa fadhila nisiposhukuru wadau wote walionipa maoni yao humu! Asanteni sana. In short wakati najiandaa kukuona kama nilivyokuwa nimeahdi kuna jamaa yangu mmoja alinipa wazo kwamba nicheki fuel system inaweza ikawa na matatizo hasa kama gari limekaa muda mrefu ikishindikana...
Kiongozi; inajipunguza na kwenda mdogo mdogo sana hadi naona wa mbele yangu kaniacha kwa mbali ghafla. Sijawahi kuisubiria hadi nione kama itasimama completely ila nahisi nikiiacha itasimama kabisa.
Baada ya swali lako nimetoka kufanya hiyo test Mkuu. Yes; nikiweka D au R bila kukanyaga accelerator inatembea na ilikuwa imepaki kama masaa manne yaliyopita. Shukrani sana Kiongozi for your time.
Mabingwa Salama?
Naombeni msaada wataalamu; nina Rav4 "mpya" (Kili Time ya 2005 ODO reading 63K) inakaribia miezi miwili tangu niitie mkononi kutoka Japan. Ni 4WD; haina gear ya 4WD ila naambiwa ni auto-sense, full-time 4WD.
Hii gari ina matatizo mawili makubwa. Kwanza, accelerator ni nzito...
Unamsemea nani kaka? Hiyo big no itasemwa na watanzania na njia bora zaidi ya kusema ni through kura ya maoni; sio Bungeni kwa sababu pale hata hao wabunge wana interests zao kiimani na pia idadi ya wabunge sio sample ya kutosha kuamua jambo hili. Kumbuka wewe ni mtanzania ila sio watanzania...
Mh. Waziri Mkuu, Salaam.
Mh, naandika barua hii nikiwa na hofu; wakati mwingine nikijiuliza yamekuwaje mambo haya? Na ni nini hatima yake? Sipati jibu.
UTANGULIZI
Mh, kwa heshima na taadhima, naomba nijielekeze moja kwa moja kwenye mada kuu ya ujumbe huu - Mahakama ya Kadhi; suala ambalo lina...
Those are the best examples you can always provide. Na pale Somalia? Ni maaskofu! Na pale Mali? Ni wachungaji! Na pale Darfur? Ni Wakatoliki! Na kule Afghanistan? Sio Taliban ni KKKT walifanya hayo! Na kule Kashmir? Ni Wapentekoste wanamaliza watu pale na kujitoa mhanga kila uchao! Na pale, na...
By the way, hivi huu mwenge upo kisheria? Kwa sheria ipi au namba ngapi na ya mwaka gani?
Kama hakuna sheria yoyote basi kuukimbiza (eti kukimbiza ha ha ha ha) ni sawa na uwendawazimu wa mchana kweupe and Nasari is right.
Otherwise, kama unalindwa na sheria yoyote, the MP must be careful na...
Nikikumbuka na yale makontena ya visu waliyowahi kuingiza nchini mwaka 2000 (kama IGP enzi hizo, Omar Mahita, alivyoutangazia ulimwengu) sina hamu na hawa watu. Wanaweza kuchinja kweli ujue?
Mwaka wa ishirini huyu sultani akililia kwenda Ikulu hata haya hana. Angekuwa mwingine angalau ningefikiria lakini huyu au Seif ni BIG NO! Kama ana busara, aachie wengine; wasikigeuze Chama mradi wao.
CUF ina watu wengi tu wazuri ambao wanaweza kukiwakilisha chama katika nafasi ya urais wa JMT...
Mkuu Mushi, asante kwa angalizo. Hata hivyo, kuna issue hapa: huyu jamaa (zomba) hayuko peke yake humu JF bali ni mob au syndicate fulani kwa ajili ya kuchafua hali ya hewa kadiri inavyowezekana. Hivyo, usishangae wakaanzisha thread wenyewe kwa ID tofauti tofauti huku wakiji-pretend pro-Chadema...
Ndugu umenifurahisha mno. Wakati wanaume wa ukweli kama akina Obama always wanaamini katika ushindi (YES WE CAN) rais wetu anaamini katika kushindwa. Na kwa kuwa imani au maneno huumba hakika si tu kwamba atashindwa bali alishashindwa. Kweli speech yake imemharibia mno. Siamini na haiwezekani...
Watu wengine sijui IQ zao zikoje. Hakuna mahali popote iwe kwa maneno au vitendo CDM wameonesha kwamba lengo lao ni kuiangusha serikali tena ikitokea wakifanya hivyo (au mtu mwingine yeyote) akamatwe mara moja na kushitakiwa. Serikali iliyopo madarakani ipo kihalali tena kwa mujibu wa katiba na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.