Kama inavyojiekeza katika kichwa cha habari wadau, naombeni kujuzwa juu ya ada za shule za serikali za advanced Na kama michango mingine inaruhusiwa,
kuhusu o-level nafahamu ada na michango imefutwa,
kwa advanced naombeni mwongozo wadau.
Note; Shule za government/serikali tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.