Okey fine sina la zaidi nimejaribu kukufahamisha ninavyomjua mengine hayo kaa nayo mwenyewe maana sina uwezo wa kukubadilisha kwa hilo unalodhani . All in all mimi namfahamu sana sina shaka na uteuzi wake . Naona rangi inakusumbua sana ndugu lakini kitu unachofanya ni UBAGUZI WA RANGI.
Ni mtanzania halisi kwao ni Kigoma kwa kumbukumbu zangu aliwahi kwenda India kutibiwa tu na wala sio kwao huyu ni mzalendo halisi . Mimi ni bosi wangu kabisaaaaaaa. Nimefanya nae kazi kwa muda wa miaka mitatu sasa na kabla hajateuliwa kuwa Mkurugenzi kamili alikuwa ni Mkurugenzi Msaidizi katika...
Mimi ndio niko hoi kabisa kwa mwendo huu wa kila uteuzi unapofanywa watu mnakimbilia udini basi tumekwisha . Ina maana akiteuliwa muislamu basi ni maneno tu.Ina maana waislamu hawana haki ya kuteuliwa katika hizo nafasi? Ibrahimu Mussa ni mtendaji mzuri tu sisi wengine tunafanya nae kazi mpaka...
Mkuu nakushukuru umenisaidia kujibu kuna mtu aliniuliza ana historia gani . Lakini ameanza kazi siku nyingi sana na alihamishiwa Idara ya Utalii kwa umuhimu wake . He is very active man ( Mchapakazi). Sio kama amepachikwa katika hiyo post alipitia nafasi mbalimbali na kabla ya kuwa mkurugenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.